Ni nani anayemdanganya Edward Lowassa?

Wamshauri atoe tamko vijana wake waingie barabarani halafu tuone kitakacho wakuta! Yeye kacheza kamali kashaliwa pesa zake akae atulie
 
Acha kudanganya watu wewe,

Lowasa na chadema wenzako waliitisha maandamano yasiyo na kikomo nchi nzima,
Ila wananchi tu ndio walipuuza hilo agizo .


Hekima hekima wapi ,kenge Wa njano kabisa
 
Acha kudanganya watu wewe,

Lowasa na chadema wenzako waliitisha maandamano yasiyo na kikomo nchi nzima,
Ila wananchi tu ndio walipuuza hilo agizo .


Hekima hekima wapi ,kenge Wa njano kabisa
duh, hebu rudi ukajifunze kuchangia maana naona unatokwa na povu bila sababu za msingi.
 

Msemakweli badili ID yako kwa sbb wewe si msemakweli bali ni msema uongo tu na mnafiki mkubwa!

Unafikiri kinyume nyume na unafikiri na sisi tufikiri kama wewe
 
Amefisadi mali za Watanzania.

Viongozi wakuu wa CHADEMA wanafahamu vizuri kuhusu ufisadi wake.
Mkuu wewe hapa ndo umesema fisadi hebu defend hoja yako
Lowasaa kafisidi nini

Usiongee kisiasa tu mkuu
Utaonekana na ww ni wale wale
Ukimtuhumu mtu lazima uwe na supportive evidence mkuu
La sivyo siasa za maji taka huziwez jenga ACT YAKO HUKU UKILILIA KUONGOZA KAMATI YA PAC
 
Hata shetani anasikilizwa na watu zaidi ya Mungu!

Yes, Lowassa ni nabii kwa kutumia fikra za wapambe wake kama Gwajima na William Mwamalanga!
Mchango wako umeutoa vyema ... nawachukia wanaokurupuka na kuwatusi members wengine mara ..... hooo vile. Kama mtu anawaza tofauti na wewe hakuna haja ya kumtukana badala yake ni kumwelewesha ili aelewewe.

Kama kuna mtu anayejua kitu inaitwa mob psycology .... kamwe hawezi kumtusi wala kumbeza Lowasa kwa yale anayoyaongea.
 
amekaa kimya au anajutia pesa zake alizopoteza kuwahonga ili apate urais, lowasa ni santuri iliyopitwa na wakati anaongea ili aonekane yupo
 
Nadhani huu ushauri ungeanzia kwanza kwa Edward Lowassa ambaye kwa sasa kila anapokutana na kundi la Watu anaanza kudai amani iliyokuwepo baada ya uchaguzi mkuu imetokana na yeye kukaa kimya baada ya uchaguzi.

Tatizo lako na wewe umeshindwa kabisa kujitofautisha na Lowassa! Unataka tuamini kuwa ulichoandika hapa ni ukweli. Watz wa leo sio nyumbu kama unavyozani


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Bado unapambana naye tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…