Ni mwaka wa 6 sasa sijapata ajira ya ualimu TAMISEMI

More Chances

Senior Member
Jun 24, 2022
137
301
Kwa niaba ya Graduators wote wa Degree za ualimu kuanzia 2017, 2018, 2019, tunakuomba Mheshimiwa Rais Dr. Samia na mamlaka zote zilizopo chini yako zinazo-deal na ajira za walimu, ikikupendeza tunaomba utumalize wote tuingie kwenye ajira.

Maana uzee unagonga hodi na sisi hatujaonja keki ya taifa na tuna familia zinatutegemea, wazazi wanaona wametupa hela zao kutusomesha.
 
Kwa niaba ya Graduators wote wa Degree za ualimu kuanzia 2017,2018,2019, tunakuomba mheshimiwa Rais Dr Samia na mamlaka zote zilizopo chini yako zinazo deal na ajira za walimu ikikupendeza tunaomba utumalize wote tuingie kwenye ajira , maana uzee unagonga hodi na sisi hatujaonja keki ya taifa na tuna familia zinatutegemea wazazi wanaona wametupa hela zao kutusomesha.
Jitahidi kua creative usitegemee kua ajiriwa mkuu, hata walio ajiliwa wanalia hali ngumu.
 

Attachments

  • IMG_0412.png
    IMG_0412.png
    503.3 KB · Views: 14
  • IMG_0411.png
    IMG_0411.png
    1.5 MB · Views: 15
Unasomea ualimu unategema kuajiriwa serikalini?

Jichanganye huo muda unaosubiri fanya mishe zingine

Umri haukusubiri na muda huwa haurudi nyuma
 
Back
Top Bottom