Ni muhimu sana vijana kupima vizuri athari za kuhamasishwa kufanya mambo haramu na vibaka wa kisiasa ili kuepuka kuumizwa au kupoteza maisha

Si kwa Chadema tu. Hata kwa machawa wapo tena wangi wasiojijua wala kukjua wanachofanya hadi wanakubali kujigeuza au kugeuzwa chawa.
Familia, ndugu, jamaa na marafiki wa wapendwa waliohamasishwa kufanya mambo haramu na hatimae kuumizwa au kupoteza maisha, ninaamini familia hizo zina sikitika mno, zinafedheheka sana mpendwa wao kuumizwa au kupoteza maisha kilofa namna hiyo kwa kubebwa ufala na vibaka wa kisiasa nchini 🐒
 
Familia, ndugu, jamaa na marafiki wa wapendwa waliohamasishwa kufanya mambo haramu na hatimae kuumizwa au kupoteza maisha, ninaamini familia hizo zina sikitika mno, zinafedheheka sana mpendwa wao kuumizwa au kupoteza maisha kilofa namna hiyo kwa kubebwa ufala na vibaka wa kisiasa nchini 🐒
Afrika ya Kusini wangekuwa na cowards kama wewe, wangekuwa baddo chini ya utawala wa kikaburu.
 
kubebwa ufala na vibaka wa kisiasa ni kitu mbaya sana,

yaani unahamasishwa na tapeli wa kisiasa kwenda kuumizwa au kupoteza maisha yako kilofa na kizembe namna ile, inasikitisha sana inafedhehesha sana comrade, aise dah 🐒
Ni kweli. Hata kugeuza watu wazima na akili zao chawa inasikitisha, kudhalilisha na kuumiza japo taratibu.
 
Upuuuzi kiwango cha juuu sana huu😡😡😡😡
Hii hofu ya watawala ukianza Toka Zamani!Daud kwenye Biblia alikuwa kijana mdogo sana.kwa kifupi:,Kaka zake walikuwa vitani wakipambania na wafilisti!Mfalme wa Israel alikuwa Sauli Daud akasema anammudu Goliath wa wafilisti,pande la mtu .Akamgalagaza Mfalme akafurahi sana na kusema Daudi atakula mezani kwangu.Baadae nyimbo zikaitwa za kusifu!Sauli ameua elfu,Daudi ameua makumi elfu!. Mfalme Sauli akachanji ,kama si ufalme ni nini Basi?!Uadui ukaanza,wakati Daud hana hata huo mpango wa ufalme.Hoja ni twende na mfumo mzuri.Unakubalika utatawala tuu!
 
Afrika ya Kusini wangekuwa na cowards kama wewe, wangekuwa baddo chini ya utawala wa kikaburu.
Gentleman,
jikite kwenye hoja ya malofa waliobebwa ufala kifikra na matapeli wa kisiasa na wakachochewa kwenda kufanya mambo haramu,

Africa kusini watadeal na mambo yao wenyewe 🐒
 
kubebwa ufala na vibaka wa kisiasa ni kitu mbaya sana,

yaani unahamasishwa na tapeli wa kisiasa kwenda kuumizwa au kupoteza maisha yako kilofa na kizembe namna ile, inasikitisha sana inafedhehesha sana comrade, aise dah 🐒
Bahati nzuri shule za kata zimefungua watu vichwa,wamesoma na kuchambua mambo!Imba litazama tutalala.
 
Gentleman,
jikite kwenye hoja ya malofa waliobebwa ufala kifikra na matapeli wa kisiasa na wakachochewa kwenda kufanya mambo haramu,

Africa kusini watadeal na mambo yao wenyewe 🐒
Nakubaliana nawe japo nimeishajikita kwa kulinganisha madhara ya ufala uwe huo unaousema au unaoogopa kusema yaani uchawa na machawa wenyewe na wale wanaoyafuga mwanangu. Umeelewa eeeeh?
 
Gentleman,
jikite kwenye hoja ya malofa waliobebwa ufala kifikra na matapeli wa kisiasa na wakachochewa kwenda kufanya mambo haramu,

Africa kusini watadeal na mambo yao wenyewe 🐒
Hata waliodaivuhuru walliga kwa waliodai kwanza,wakaona ni Jambo jema!Hata hao unaowaita matapeli ,sisi tunasema ni vichwa Wala si mikia!Tutasimama nao mpaka kitaeleweka!Hata Wewe Simamia unachokiamini.
 
Hii hofu ya watawala ukianza Toka Zamani!Daud kwenye Biblia alikuwa kijana mdogo sana.kwa kifupi:,Kaka zake walikuwa vitani wakipambania na wafilisti!Mfalme wa Israel alikuwa Sauli Daud akasema anammudu Goliath wa wafilisti,pande la mtu .Akamgalagaza Mfalme akafurahi sana na kusema Daudi atakula mezani kwangu.Baadae nyimbo zikaitwa za kusifu!Sauli ameua elfu,Daudi ameua makumi elfu!. Mfalme Sauli akachanji ,kama si ufalme ni nini Basi?!Uadui ukaanza,wakati Daud hana hata huo mpango wa ufalme.Hoja ni twende na mfumo mzuri.Unakubalika utatawala tuu!
msipotoshane na kupeana moyo kindezi hivyo my friends,

ni fedheha sana kwa mtu mwenye akili timamu na pengine mwenye familia nyumbani, kuacha kufanya mambo ya msingi na kubebwa ufala kifikra na na matapeli wa kisiasa nchini na kukubali kuchochewa kufanya mambo haramu,

Inafedhehesha sana na kwakweli inasikitisha sana hiyo nonsense gentleman,

Tuambiane ukweli tu 🐒
 
msipotoshane na kupeana moyo kindezi hivyo my friends,

ni fedheha sana kwa mtu mwenye akili timamu na pengine mwenye familia nyumbani, kuacha kufanya mambo ya msingi na kubebwa ufala kifikra na na matapeli wa kisiasa nchini na kukubali kuchochewa kufanya mambo haramu,

Inafedhehesha sana na kwakweli inasikitisha sana hiyo nonsense gentleman,

Tuambiane ukweli tu 🐒
Mi namkubali pascal Mayalla ni CCM ila Yuko Fair! Wewe hamna kitu sitochangaa ukipewa faili Mirembe!
 
Hata waliodaivuhuru walliga kwa waliodai kwanza,wakaona ni Jambo jema!Hata hao unaowaita matapeli ,sisi tunasema ni vichwa Wala si mikia!Tutasimama nao mpaka kitaeleweka!Hata Wewe Simamia unachokiamini.
mimi nasimamia hapo hapo kwenye hoja ya msingi gentleman, kwamba ulofa ni kitu mbaya sana,

kubebwa ufala kifikra na kukubali kuchochewa kufanya mambo haramu na kisha kuumizwa au kupoteza maisha ni uzembe na kitu mbaya zaidi,

Jitahidini kua makini na matapeli wa kisiasa gentleman 🐒
 
mimi nasimamia hapo hapo kwenye hoja ya msingi gentleman, kwamba ulofa ni kitu mbaya sana,

kubebwa ufala kifikra na kukubali kuchochewa kufanya mambo haramu na kisha kuumizwa au kupoteza maisha ni uzembe na kitu mbaya zaidi,

Jitahidini kua makini na matapeli wa kisiasa gentleman 🐒
Uzembe ni kukata no reform no election ndio Uzembe!
 
Mi namkubali pascal Mayalla ni CCM ila Yuko Fair! Wewe hamna kitu sitochangaa ukipewa faili Mirembe!
Gentleman,
mimi namkubali na kumuamini Mwenyezi Mungu pekee ambae ndie anaenipa nguvu, neema, baraka na ujasiri wa kueleza ukweli kwenye mambo ya msingi tu tena kwa uwazi wa kiwango cha juu sana na bili mihemko wala mchecheto.

huo ushirikiana wenu bakini nao huko huko 🐒
 
Ni muhimu sana kwa vijana na wazee kwa pamoja katika siasa, graduate na wasio graduates kua makini mno na kuepuka kukubali kirahisi kuhamasishwa na kubebwa ufala kifikra na viongozi wa kisiasa waliopoteza uelekeo nchini, na kutumbukizwa katika kutenda mambo au matendo haramu ambayo ni kinyume cha sheria, na hatimae kujikuta unamizwa au kupoteza maisha kilofa kabisa, na kupeleka huzuni nyumbani kwako na kusababisha utegemezi au umaskini wa kutupwa kwenye familia yako.

Usikubali kutumika kisiasa kama chambo au platform ya kisiasa kwa wanasiasa ambao wamekosa agenda, Lakini kabisa wamekosa maono. Ni fedheha msiba wako kufanywa jukwaa la kisiasa na majeraha au ulemavu wako kama mtaji wa kupata huruma kwa jamii ambayo haina faida yeyote kwako na kwa familia yao.

Tunza na kuitumia vyema zawadi ya uhai, afya na karama ya utashi na akili alizokujalia Mungu kutambua kwa haraka jema na ovu unalohamasishwa kutenda na muovu, na kuasess chapchap hasara na faida za kubebwa ufala, kwako binafsi na kwa familia yako.

Epuka kufanywa Lofa na vibaka wa kisiasa.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Ngoja wapewe mkong'oto ndio akili zitakuja.

Kenge hasikii Hadi damu itoke 😁 😁
 
Back
Top Bottom