Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,610
- 6,714
Watu wanalalamika kwa sababu walizoea mteremko. We fikiria serikalini na mashirika ya umma wamejaa vihiyo (watu wenye vyeti feki na hawajuwi nini wakifanyacho). Kila kukicha ukienda serikalini kutafuta huduma unakutana na hawa watu, a simple thing, wao wanashindwa kukusaidia wakati wameajiriwa kuhudumia wananchi (wewe na mimi). Kikwete alikuwa anawalimbikiza wakati people have been saying it for a long time kuwa tuna wafanyakazi wasio na taaluma, leo JPM anawatimua unafikiri watampenda JPM? Angalia walimu walio na vyeti feki na elimu wanaotoa kwa watoto wetu. Kikwete aliharibu sana Tanzania na inabidi ashitakiwe tu, hafai kabisa yule mtu.