Povu ndo nini? Maana Jamii ya Mashoga inaenea kwa kasi sana Tanzania. Isije kuwa ni Misemo yenu.Futa povu kwanza
Bavicha muwe mnamuuliza wakili kwenu Lissu wa makanikia. Mahakama, Bunge na Serikali ni mihimili mitatu ya dola na viongozi wake ni Jaji Mkuu, Spika na Rais na Ndiyo sababu uliwaona wote Pamoja. Hiyo Ndiyo nchi au dolaJaji Mkuu naona anaalikwa katika kila tukio tena mengine kitaratibu yana ishara zote za kuishia mahakamani ambako yeye ni kiongozi wa mahakama
Je atatenda haki? Kwa maoni yangu,Jaji Mkuu anapoonekana pale kwenye vikao vile vinavyorushwa laivu inamuweka katika upande mmoja dhidi ya wale wanaotuhumiwa!
Sijui na yeye huwa anapiga makofi au anashangilia pale anapoalikwa,au ana ushiriki kiasi gani,ila uwepo wa Kaimu Jaji Mkuu,Spika,na Rais,ni ishara au hisia kwamba ni uamuzi wa pamoja na hakuna pa kukimbilia,kwa kuwa hata mahakama ya kukimbilia,Tayari Jaji Mkuu alikuwa sehemu ya tukio!
Jaji Mkuu si mwanasiasa,mumuepushe na mgongano wa kimaslahi,hapo hajathibitishwa kazini
Siku hiyo yalitolewa maagizo kwamba kila chombo cha dola kimshughulikie muhusika aliyetajwa na aliyetoa agizo alisema anasikitika nchi inaibiwa,jaji mkuu atatekelezaje?akiwaachia huru atakuwa ametekeleza agizo au amekiuka agizo?Bavicha muwe mnamuuliza wakili kwenu Lissu wa makanikia. Mahakama, Bunge na Serikali ni mihimili mitatu ya dola na viongozi wake ni Jaji Mkuu, Spika na Rais na Ndiyo sababu uliwaona wote Pamoja. Hiyo Ndiyo nchi au dola
Kwenye swala hili la kupinga uwizi na unyonyaji wa kibeberu wacha mihimili yote ikae pamoja.....umoja ni nguvu....alafu...nani alikuanganya ...mgogoro ukiibuka kesi itasikilizwa hapa tz....????Jaji Mkuu naona anaalikwa katika kila tukio tena mengine kitaratibu yana ishara zote za kuishia mahakamani ambako yeye ni kiongozi wa mahakama
Je atatenda haki? Kwa maoni yangu,Jaji Mkuu anapoonekana pale kwenye vikao vile vinavyorushwa laivu inamuweka katika upande mmoja dhidi ya wale wanaotuhumiwa!
Sijui na yeye huwa anapiga makofi au anashangilia pale anapoalikwa,au ana ushiriki kiasi gani,ila uwepo wa Kaimu Jaji Mkuu,Spika,na Rais,ni ishara au hisia kwamba ni uamuzi wa pamoja na hakuna pa kukimbilia,kwa kuwa hata mahakama ya kukimbilia,Tayari Jaji Mkuu alikuwa sehemu ya tukio!
Jaji Mkuu si mwanasiasa,mumuepushe na mgongano wa kimaslahi,hapo hajathibitishwa kazini
Unajuaje kama haitawagusa baadhi ya watanzania kwenye mahakama za hapa hapa Tanzania?Kwenye swala hili la kupinga uwizi na unyonyaji wa kibeberu wacha mihimili yote ikae pamoja.....umoja ni nguvu....alafu...nani alikuanganya ...mgogoro ukiibuka kesi itasikilizwa hapa tz....????
We ni Nani? Mpaka unapata nguvu ya Kupiga Marufuku!
MwambieWe ni nani kuhoji haki ya mwana JF kutoa maoni yake? Mbona wewe kutwa nzima na usiku kucha unapost umbea wako na mods wanakuvumilia? Au kwa file wewe ni fisiem basi unajiona una uwezo wa kuwanyamazisha wengine wasio mafisi?
Unauhakika itaishia mahakamani? Ona wanaume wamekubali "kuyaongea"Jaji Mkuu naona anaalikwa katika kila tukio tena mengine kitaratibu yana ishara zote za kuishia mahakamani ambako yeye ni kiongozi wa mahakama
Je atatenda haki? Kwa maoni yangu,Jaji Mkuu anapoonekana pale kwenye vikao vile vinavyorushwa laivu inamuweka katika upande mmoja dhidi ya wale wanaotuhumiwa!
Sijui na yeye huwa anapiga makofi au anashangilia pale anapoalikwa,au ana ushiriki kiasi gani,ila uwepo wa Kaimu Jaji Mkuu,Spika,na Rais,ni ishara au hisia kwamba ni uamuzi wa pamoja na hakuna pa kukimbilia,kwa kuwa hata mahakama ya kukimbilia,Tayari Jaji Mkuu alikuwa sehemu ya tukio!
Jaji Mkuu si mwanasiasa,mumuepushe na mgongano wa kimaslahi,hapo hajathibitishwa kazini
Tajiri si wakuchezea,lazima ukubali yaisheUnauhakika itaishia mahakamani? Ona wanaume wamekubali "kuyaongea"
View attachment 523808