Kadai sasakama huna coment kaa kimya!
ajira ni haki yetu na inaonesha hata chuo hukijui wewe
Mwaka wa fedha 2017 - 2018...Ni takribani zaidi ya mwezi sasa tangu serikali kupitia wizara ya elimu ilipotoa muongozo mpya wa kutoa ajira, ambapo walimu wahitajika ni wa sayansi na hisabati waliotakiwa kutuma vyeti vyao kwaajiri ya uhakiki na kupangwa vituo vya kazi rasmi! hata hivyo zoezi hili lilifanyika na kumalizika kwa muda wa siku tatu tu.
Licha ya shule zote nchi kufunguliwa tarehe 9 january, lakini mpaka sasa hakujatangazwa ajira hizo kwa walimu hawa wa sayansi na hisabati wenye umuhimu mkubwa hasa katika kipindi hiki nchi ikielekea katika uchumi wa viwanda, pia kulingana na uhaba katika shule zetu za kata hasa za vijijini!
Ni lini serkali itatoa majina ya vituo vya kazi kwa walimu wa sayansi?
hii nchi bhana!Hapa hakna ajira Bali kuna MATAMKO tu, ajira gani zisitolewa tangu 2015? Huu ni ujinga tena uliopta kiasi,
Mtashangaa TAMKO jingne tena laktuma vyeti walimu wa sayansi na hisabat mwaka 2016, badae tena kutuma vyeti na walimu wa Sana'a ili vihakikiwe, polepole mpaka bajet 2017/2018
Mamaeeeee KABSA awamu hii!
Kwenye shida ndo mnakumbuka mawaziri vivuli!!..Naomba waziri kivuli wa elimu ajibu swali ili
Mwaka wa fedha 2017 - 2018...
kwaiyo fungu lililotengwa 2016/17 wamepeleka wapi?Mwaka wa fedha 2017 - 2018...
sio kwenye shida mkuu, wamelala sana wakati kuhoji ndio wajibu waoKwenye shida ndo mnakumbuka mawaziri vivuli!!..![]()
![]()
![]()
Hujaona ndege??!!... mbona uulizi pesa za mfuko wa maafa wa serikali limepelekwa wapi mpaka serikali kutumia michango ya waathirika wa Kagera kujenga miundombinu yao??!!.kwaiyo fungu lililotengwa 2016/17 wamepeleka wapi?
mkuu mimi naona hata izo ajira 4000 ni danganya toto tu hazitakuwepo!Unajua kuna vitu nchi hii ukivitazama unaweza cheka japo ni matatizo, kwa mfano pale serikali inaposema itaajiri waalimu 4000 wa science hivyo itapunguza tatizo la ajira na wakati tatizo la ajira kwanza kwa walimu wa science sio tatizo kila siku wanatafute privates, pili je 4000 kati ya 70,000 umepunguza tatizo la ajira?
Wawe tu wawazi kuwa serikali hii ni ya kubana matumizi kwani kusema walimu wa sanaa wametosha ni aibu kwa waliotembelea shule za vijijini ni mashahidi na je vipi malengo ya millenium Tanzania haiyataki yani atleast 40 student per one teacher?
Yetu macho kwani kubana matumizi kunaleta vidonda vya tumbo na siku vikilipuka hela zote ulizobana na zaidi utatumia kujitibu.
jaribu kuwa sirias mkuukesho
Kaka usitake kuwapeleka jela wabunge wote wa upinzani.... soma alama za nyakati.sio kwenye shida mkuu, wamelala sana wakati kuhoji ndio wajibu wao
pamoja saaana mwalimu wa history, nimekupata vyema!Unajua kuna vitu nchi hii ukivitazama unaweza cheka japo ni matatizo, kwa mfano pale serikali inaposema itaajiri waalimu 4000 wa science hivyo itapunguza tatizo la ajira na wakati tatizo la ajira kwanza kwa walimu wa science sio tatizo kila siku wanatafute privates, pili je 4000 kati ya 70,000 umepunguza tatizo la ajira?
Wawe tu wawazi kuwa serikali hii ni ya kubana matumizi kwani kusema walimu wa sanaa wametosha ni aibu kwa waliotembelea shule za vijijini ni mashahidi na je vipi malengo ya millenium Tanzania haiyataki yani atleast 40 student per one teacher?
Yetu macho kwani kubana matumizi kunaleta vidonda vya tumbo na siku vikilipuka hela zote ulizobana na zaidi utatumia kujitibu.
namba inasomwa hadi sio vizuri!Sasa hivi vijiji mnavitaka, kweli hali ngumu "Mnasisitiza kabisaa ...hasa za vijijini hahahaha" Bado yakiws tayari mtajua
ahahahagKaka usitake kuwapeleka jela wabunge wote wa upinzani.... soma alama za nyakati.