Tuandamane
JF-Expert Member
- Feb 2, 2008
- 1,220
- 54
na kwa hali hiyo usije ukaona ajabu kwa kutoa maelezo ya hovyo hovyo, kusimamia na kutetea mikataba mibovu, utendaji mbovu, ubabe, kuwaibia na kuwadhulumu wanyonge,kutojali kitu, yote hii hii mijoka ya midimu (sinania ya kuwacheka au kuwazomea lkn huo ndo ukweli wa wayafanyayo) inafanya hivo sbb they feel they have nothing to loose... to them life doesn't matter...