Ni kweli kuna watu wanaroga ili mwenye nyumba asahau kumalizia ujenzi au kuhamia kwenye nyumba yake?

🤪🤪

Kuna mpangaji mmoja Kila nikienda kumdai Kodi naishia kujua Khali yake na kumuuliza changamoto za nyumba ananiambia wako fresh tu, ila nikitoka mguu hapo hasira za deni zinakuja alimaliza miezi 6 hata simuulizi habari ya Kodi🤪🤪 alikuja kufa kwa sababu ya kuvuta bangi+kubeli+ tambuu akawa hali chakula wakasafirisha kwao kigoma
Na ndio pona pona Yako iyo😂😂
 
Ogopa Wamakonde...!

Wamewafanya vibaya Watu Mbezi beach na maeneo ya Bahati beach.

Unaishi Ulaya unamwacha Mmakonde aangalie Nyumba....! Mbona utaisahau
 
Wakuu kwema?

Nimisikia kuhusu hili na maeneo ya Mbezi Beach, Mikocheni na Masaki Masaki huko ni wahanga kweli.

Unajenga nyumba inaweza ikabaki kidogo au ukaimaliza kabisa lakini ukawa una sehemu nyingine ya kuishi, sasa hapo ambapo hujamalizia au ulipomalizia unaweka mtu wa kukulindia au mshkaji anakuomba akae hapo ukimaliza ujenzi au siku ukitaka kujamia atahama.

Lakini kila ikitaka kwenda kumalizia ujenzi unasahau, kila ukitaka ukaangalie nyumba yako unasahau, kumbe umepigwa kirogo usahau nyumba yako watu wajifaidie. Wanakaa hapo hadi wanapata wajukuu.

Bila ya kuwa vizuri kwenye mizimu yenu au ukaenda na mchungaji mkapiga maombi ndio imetoka hiyo, hakuna kuzinduka. Ndio ukute ulikuwa unajenga kisirisiri, ndio inakua imeisha hiyo.

Mzee wa mizimu hii imekaaje Mshana Jr? Ni kweli haya yanafanyika au stori tu za mtaani?
Pitia hii kwanza

 
Wakuu kwema?

Nimisikia kuhusu hili na maeneo ya Mbezi Beach, Mikocheni na Masaki Masaki huko ni wahanga kweli.

Unajenga nyumba inaweza ikabaki kidogo au ukaimaliza kabisa lakini ukawa una sehemu nyingine ya kuishi, sasa hapo ambapo hujamalizia au ulipomalizia unaweka mtu wa kukulindia au mshkaji anakuomba akae hapo ukimaliza ujenzi au siku ukitaka kujamia atahama.

Lakini kila ikitaka kwenda kumalizia ujenzi unasahau, kila ukitaka ukaangalie nyumba yako unasahau, kumbe umepigwa kirogo usahau nyumba yako watu wajifaidie. Wanakaa hapo hadi wanapata wajukuu.

Bila ya kuwa vizuri kwenye mizimu yenu au ukaenda na mchungaji mkapiga maombi ndio imetoka hiyo, hakuna kuzinduka. Ndio ukute ulikuwa unajenga kisirisiri, ndio inakua imeisha hiyo.

Mzee wa mizimu hii imekaaje Mshana Jr? Ni kweli haya yanafanyika au stori tu za mtaani?
Uchawi upo kweli kwenye hayo mambo lakini si mara zote bali kinachotokea ni asili inachukua mkondo wake
Kuna ukaribu unajengwa kiasili kati ya uliyemwachia na hiyo nyumba.. Nyumba haipaswi kuachwa wazi baada ya ujenzi wala haitakiwi kumpa mtu akae bure.. Nice heri kuipangisha hata kwa bei ndogo..
Ardhi inasikia na inaona! Mtu aliyepo kwenye nyumba hata akiihudumia vizuri namna gani lakini akawa analipa kodi ardhi inajua.. Lakini ile extra free huleta ukaribu kati ya wawili na wewe kuonekana mtu baki
 
🤪🤪

Kuna mpangaji mmoja Kila nikienda kumdai Kodi naishia kujua Khali yake na kumuuliza changamoto za nyumba ananiambia wako fresh tu, ila nikitoka mguu hapo hasira za deni zinakuja alimaliza miezi 6 hata simuulizi habari ya Kodi🤪🤪 alikuja kufa kwa sababu ya kuvuta bangi+kubeli+ tambuu akawa hali chakula wakasafirisha kwao kigoma
Haya mambo yapo sana
 
Wakuu kwema?

Nimisikia kuhusu hili na maeneo ya Mbezi Beach, Mikocheni na Masaki Masaki huko ni wahanga kweli.

Unajenga nyumba inaweza ikabaki kidogo au ukaimaliza kabisa lakini ukawa una sehemu nyingine ya kuishi, sasa hapo ambapo hujamalizia au ulipomalizia unaweka mtu wa kukulindia au mshkaji anakuomba akae hapo ukimaliza ujenzi au siku ukitaka kujamia atahama.

Lakini kila ikitaka kwenda kumalizia ujenzi unasahau, kila ukitaka ukaangalie nyumba yako unasahau, kumbe umepigwa kirogo usahau nyumba yako watu wajifaidie. Wanakaa hapo hadi wanapata wajukuu.

Bila ya kuwa vizuri kwenye mizimu yenu au ukaenda na mchungaji mkapiga maombi ndio imetoka hiyo, hakuna kuzinduka. Ndio ukute ulikuwa unajenga kisirisiri, ndio inakua imeisha hiyo.

Mzee wa mizimu hii imekaaje Mshana Jr? Ni kweli haya yanafanyika au stori tu za mtaani?
Ni kweli, sisi mama yetu mdogo na wanawe walikuwa wanaturoga sana ila walishindwa kwa sababu sisi ni ukoo mwingine.
 
Mzee wangu huwa ana shamba moja kubwa sana Mkuranga lina ardhi nzuri sana kwa ajili ya kulimo cha mihogo pia kuna nyumba ya kawaida anakaa mzee mmoja na familia yake miaka kadhaa sasa

Cha kushangaza mzee huwa hataki tulime mihogo wala kuvuna nazi katika shamba hilo vyote kamuachia huyo mzee analima almost miaka kumi sasa

Bad enough kuna wawekezaji walitaka kununua hili shamba walitaka kutoa kama 250M ivi ila mzee alikata with no reason. Sijui ndo mzee wetu kalogwa

NB: 250M kwa hili shamba ni offer nzuri na worth enough kwa hili eneo
Mkuranga pasikie hivi hivi yalinikuta kule
 
Back
Top Bottom