Ni kwanini watu wengi hasa watanzania wanaipenda Rwanda?

Wadau...
Huwa nikipita mitaani hapa Tanzania huwa hasikia watu wengi wakiisifia Sana inchi ya Rwanda na rais wao mpendwa kagame..

Inafikia hatua Hadi wanatamani Sana kuwa wanyarwanda kulingana na mafanikio waliyonayo kwa kipindi kifupi know..

Mfano, utasikia watu wakisema eti mm Babu yangu ama Bibi yangu ametokea Rwanda, wengine wakifanana kidogo tu na wa kule lazima wanajiita wanyarwanda na wanajivunia Sana nchi hiyo hata Kama siyo kwao..

Hata mikoa na sehemu nyingi za pembezoni Kama kigoma, na baadhi ya sehemu za kagera watu wengi wanajivunia kuwa wanyarwanda kuliko watanzania..

Nashindwa kujua tatizo ni mini..
Je,

Tumekosa uzalendo?

Rwanda inavutia Sana kuliko Tanzania?

Maendeleo ya Rwanda ndio yanatuvutia zaidi?
..



Naomba kutoa hoja.
Fikra mbovuuuu
 
Rwanda nahc katika Africa inaongoza kwa kua na wanawake na warembo wazuri zaidi. I also ponder to marry a woman from Rwanda. Help me God!
Wana roho mbaya wanawake ila kama sura na umbo tu go and marry mkuu
 
Kwa sababu watu wa Rwanda ni wapole binasfi mm nmesoma na kagame alikuwa mtu poa sana
 
Wadau...
Huwa nikipita mitaani hapa Tanzania huwa hasikia watu wengi wakiisifia Sana inchi ya Rwanda na rais wao mpendwa kagame..

Inafikia hatua Hadi wanatamani Sana kuwa wanyarwanda kulingana na mafanikio waliyonayo kwa kipindi kifupi know..

Mfano, utasikia watu wakisema eti mm Babu yangu ama Bibi yangu ametokea Rwanda, wengine wakifanana kidogo tu na wa kule lazima wanajiita wanyarwanda na wanajivunia Sana nchi hiyo hata Kama siyo kwao..

Hata mikoa na sehemu nyingi za pembezoni Kama kigoma, na baadhi ya sehemu za kagera watu wengi wanajivunia kuwa wanyarwanda kuliko watanzania..

Nashindwa kujua tatizo ni mini..
Je,

Tumekosa uzalendo?

Rwanda inavutia Sana kuliko Tanzania?

Maendeleo ya Rwanda ndio yanatuvutia zaidi?
..



Naomba kutoa hoja.
wanyarwanda mnapenda kujisifia wakati mnatia kichefuchefu
 
Muongo bro Rwanda maskini vp ilihali hakuna nyumba ya nyasi hata moja pia system yao ya life ni mzuri kuliko inchi yeyote Ya Africa mashariki pia pesa yao ipo juu kuliko Tz vp leo useme uongo?
Hunger and Poverty | ONE UN Rwanda
Rwanda Kuna masikini wengi sana na raia wengi wanaishi chini ya mstari wa umasikini...
Kuna wanyarwanda wakimbizi zimbabwe zaidi ya 500 wanaishi maisha magumu sana...
Tunaposema Rwanda hatusemi chigali mkuu..
Tuishie kusema wanajitahidi sio kusema Rwanda wako vizuri kijumlajumla
 
Wadau...
Huwa nikipita mitaani hapa Tanzania huwa hasikia watu wengi wakiisifia Sana inchi ya Rwanda na rais wao mpendwa kagame..

Inafikia hatua Hadi wanatamani Sana kuwa wanyarwanda kulingana na mafanikio waliyonayo kwa kipindi kifupi know..

Mfano, utasikia watu wakisema eti mm Babu yangu ama Bibi yangu ametokea Rwanda, wengine wakifanana kidogo tu na wa kule lazima wanajiita wanyarwanda na wanajivunia Sana nchi hiyo hata Kama siyo kwao..

Hata mikoa na sehemu nyingi za pembezoni Kama kigoma, na baadhi ya sehemu za kagera watu wengi wanajivunia kuwa wanyarwanda kuliko watanzania..

Nashindwa kujua tatizo ni mini..
Je,

Tumekosa uzalendo?

Rwanda inavutia Sana kuliko Tanzania?

Maendeleo ya Rwanda ndio yanatuvutia zaidi?
..



Naomba kutoa hoja.
We binafsi unaamini hivo?ebu fikiria tu we mwenyewe ni kitu gn labda Rwanda kipo halafu Tanzania hakipo ambacho kinafanya watanzania waipende Rwanda zaidi
 
Hunger and Poverty | ONE UN Rwanda
Rwanda Kuna masikini wengi sana na raia wengi wanaishi chini ya mstari wa umasikini...
Kuna wanyarwanda wakimbizi zimbabwe zaidi ya 500 wanaishi maisha magumu sana...
Tunaposema Rwanda hatusemi chigali mkuu..
Tuishie kusema wanajitahidi sio kusema Rwanda wako vizuri kijumlajumla
Bila ya shaka wewe hauwijui Rwanda embu niambie Rwanda sehemu ipi inanyumba ya nyasi?pia weka pesa ya Rwanda na Tz tuone ipi ipo juu?mimi sijaujua mji unaoitwa chigali ....nijuavyo Africa kusini ipo juu kiuchumi lakini pia maskini wapo wengi mie nimekaa na ninaona pia Duniani Oman ndio nchi ya kwanza kuwa na thaman ya kipesa oman Real moja tz sawa na 5800/=lakini wapo watu ni maskini ktk maeneo ya Sakata pia England paund ipo juu lakini nenda mitaa ya pemba utakuta maskini sasa sijui unaongelea umaskini wa Rwanda ukiufananisha na nchi ipi?
 
Muongo bro Rwanda maskini vp ilihali hakuna nyumba ya nyasi hata moja pia system yao ya life ni mzuri kuliko inchi yeyote Ya Africa mashariki pia pesa yao ipo juu kuliko Tz vp leo useme uongo?
Nchi yenyewe ukubwa wake ni kama mkoa wa morogoro au hata morogoro inaweza kuwa kubwa utalinganisha na Tz vitu vingine usilinganishe ndiyo wezi wakubwa wa madini congo Kinshasa kama hujui
 
Shida yaoo moja awajiamini hatakidogo kilamda wanahisi adui anakujakwao..hats ukiwanaoo jirani akikuzoea ukasita anafiikiri usalama was taiga..roho kamahizo akuna tofauti na waafghanistan saayoyote unakula chepe LA ardhi
 
Vilaza wengi waliopo Tz wamenyimwa elimu ndio maana inaongea upuuzi tu ndugu hatuangalii ukubwa wa nchi na wingi wa watu kama ingelikuwa ukubwa wa nchi Libya ya gadaf isingeliishinda America ya obama na sasa Trump lakini huduma nyingi Libya ilikuwa ni mzuri na bure huku ukipewa 63%pesa za kujikimu kutoka katika mshahara wa kati je hilo America waliwai kufanya pamoja na wingi wao na ukubwa wa nchi yao??ukisema Rwanda wezi wa madini ya kongo bila ya shaka wenye elimu wameelewa kumbe Rwanda inafanyakila wawezavyo kuinufaishi nchi na Raia wake.wewe kiongozi wako anatwaa Rasilimali wapi?
 
Sasa wewe mwenye akili na elimu mbona hujafafanunua kwanini Tz wanaipenda Rwanda sio makosa yako jina lako linaonyesha ulikotokea
 
Mleta Uzi, hili jina lako tuu tayari unataka kujua watanzania wanaichukuliaje Rwanda, unabet au umetumwa? Kama kuna Mtanzania anatamani kuwa Mnyarwanda bila sababu za maana huyo atakuwa mwehu na haifahamu Rwanda vizuri..ila nakubaliana na wewe kwamba kuna baadhi ya mambo mazuri yapo pale, Siyataji
 
MLETA HOJA NILIJUA UTASIFIA SEHEMU MOJA NAONA UMEKIMBIA

BINAFSI NAPENDA MAJI YAO BANA ..TOFAUTI NA YALE YA BUKOBA YAKWAOO N MAJISAFI SAFI AKA (RWAWASCO))..UKIWA NA BINTI WA KINYARU USIKIMBILIE KUINGIZA MSHEDEDE WAKO KWAO SIO PRIORITY...ANZA NA ROMANCE ZA KAWAIDA PELEKA MKONO KWA USTAARABU KABISA SEHEMU HUSIKA KWA JUU UTAKUTA KANANII KANAKUSUBIRI KUCHEZEWA ..UKIWA NA KIPAJI KAMA PDIDY UNAWEZA ANZA NA MKONO KAVURUGE KILAKONA KAMA HUKUBAHATIKA KUONA MT KILI..PELEKA SOSAGE YAKO SASA HAPO USIENDE KILELENI SUGUA KALE KAKINENA JUU CHINI SHOTO KULIA AISEEEE YAMATOKA PURE DRINKINGIN WATER BINAFSI YALINISAIDIA KUNGARISHA NGOiZI YA USO WANGU MPAKA LEO. M NSHASAHAU NANWALE MADADAWASALOON KUSUGUA USO...

KIUKWELI WAKO VYEMA ACHA TU....UKIBAHATIKA SPEED YA MT KILIMANJARO UNAOGAKABISA
 
@kwataarifayako baada yahapo hataukiingia marasaba unamaliza shida zakotu

ukweli waowaanakuwa awapo tena hapo baada ya kutoapure drink water
 
Back
Top Bottom