Ni bima ipi ya afya bora kukata? Tupeane uzoefu na ushauri

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Jan 9, 2022
507
1,114
Binafsi ni mdau wa afya na ni mnufaika wa bima ya taifa NHIF , Tanzania kwa ujumla tuna bima za afya nyingi sana kama :-
-NHIF
-ASSEMBLE
-STRATEGIES
-JUBILEE
-Cigna
-BRITAM
-BUPA
-UAP
-HEALIX
-WCF
-CHF
-Aetna
-NSSF
Na nyinginezo nyingi je wewe ni BIMA ipi unaweza mshauri mtu ajiunge na kwa faida zipi?

Binasi pamoja na Changamoto zote bado ntamshauri mtu ajiunge na NHIF iwe ya standard ,supplementary au VIFURUSHI kwa sababu zifuatazo -

1. Inapatikana Nchi nzima

2. Haina kiwango na ukomo wa matibabu kwa siku

3. Ina huduma zote muhimu kama kumwona daktari, vipimo, upasuaji na madawa muhimu yote.

Wewe je una uzoefu na ushauri upi?​
 
Binafsi ni mdau wa afya na ni mnufaika wa bima ya taifa NHIF , Tanzania kwa ujumla tuna bima za afya nyingi sana kama :-
-NHIF
-ASSEMBLE
-STRATEGIES
-JUBILEE
-Cigna
-BRITAM
-BUPA
-UAP
-HEALIX
-WCF
-CHF
-Aetna
Na nyinginezo nyingi je wewe ni BIMA ipi unaweza mshauri mtu ajiunge na kwa faida zipi?

Binasi pamoja na Changamoto zote bado ntamshauri mtu ajiunge na NHIF iwe ya standard ,supplementary au VIFURUSHI kwa sababu zifuatazo -

1. Inapatikana Nchi nzima

2. Haina kiwango na ukomo wa matibabu kwa siku

3. Ina huduma zote muhimu kama kumwona daktari, vipimo, upasuaji na madawa muhimu yote.

Wewe je una uzoefu na ushauri upi?​
Hii CHF si ile haiko mjini au
 
Sio kweli
Nhif wana portal yao ambapo ukiomba authorization moja, ndio hiyo hiyo ndani ya masaa 24 huwezi kupata kibali kingine labda iwe emergence case.

Nssf hawana utaratibu wa system lkn nao taratibu zao zipo hivyo, pia nssf unaruhusiwa kupata matibabu ndani ya hospitali moja tu ambayo utakuwa umechagua mwenyewe na ikitokea unataka kutibiwa sehemu tofauti lazima ukaombe kibali kwao.

Mimi ni mtumiaji wa hizi bima mbili kwa mda mrefu
 
Nhif wana portal yao ambapo ukiomba authorization moja, ndio hiyo hiyo ndani ya masaa 24 huwezi kupata kibali kingine labda iwe emergence case.

Nssf hawana utaratibu wa system lkn nao taratibu zao zipo hivyo, pia nssf unaruhusiwa kupata matibabu ndani ya hospitali moja tu ambayo utakuwa umechagua mwenyewe na ikitokea unataka kutibiwa sehemu tofauti lazima ukaombe kibali kwao.

Mimi ni mtumiaji wa hizi bima mbili kwa mda mrefu
NHIF sasa hivi hawalipi hela ya kumuona daktari mmoja mmoja wanalipa hela ya Matibabu kwa siku hiyo uliyokwenda kutibiwa ,ukifika hospitalini ukaona Daktari mmoja au watatu wao wanalipa hela ya Daktari mmoja wakiwa wanamaana wanalipa Visit ya siku hiyo sio hela ya Daktari .

Hivyo kwa sasa unaweza kwenda hospital ukatibiwa na daktari bingwa wa Magonjwa ya ndani ,meno ,wa kawaida ila hapa watalipa ya Daktari mmoja ambae ni superior kwa hapa ni physician

Ukitibiwa hosp A leo ukaenda hosp B leo leo bado utasomeka uko hosp A huko hosp B utatibiwa kama ni Emergency au umepewa rufaa jambo ambalo la kawaida tu .
 
Binafsi ni mdau wa afya na ni mnufaika wa bima ya taifa NHIF , Tanzania kwa ujumla tuna bima za afya nyingi sana kama :-
-NHIF
-ASSEMBLE
-STRATEGIES
-JUBILEE
-Cigna
-BRITAM
-BUPA
-UAP
-HEALIX
-WCF
-CHF
-Aetna
-NSSF
Na nyinginezo nyingi je wewe ni BIMA ipi unaweza mshauri mtu ajiunge na kwa faida zipi?

Binasi pamoja na Changamoto zote bado ntamshauri mtu ajiunge na NHIF iwe ya standard ,supplementary au VIFURUSHI kwa sababu zifuatazo -

1. Inapatikana Nchi nzima

2. Haina kiwango na ukomo wa matibabu kwa siku

3. Ina huduma zote muhimu kama kumwona daktari, vipimo, upasuaji na madawa muhimu yote.

Wewe je una uzoefu na ushauri upi?​
Strategies Ni NZURII Sanaa 😊 hii nilikua nayo enzi izoo nikiwa beneficiary wa mzee wangu....

Miaka majuzi nikiwa naongeza Elimu za juu (postgraduate) moja ya takwa mojawapo la chuo Ni bima ya afya so nikajaza fomu za NSSF nikachagua hospital moja sijawai itumia Tena hata sijui kadi ipo wap..
 
Strategies Ni NZURII Sanaa 😊 hii nilikua nayo enzi izoo nikiwa beneficiary wa mzee wangu....

Miaka majuzi nikiwa naongeza Elimu za juu (postgraduate) moja ya takwa mojawapo la chuo Ni bima ya afya so nikajaza fomu za NSSF nikachagua hospital moja sijawai itumia Tena hata sijui kadi ipo wap..
NSSF Changamoto ni hapo kuchagua kituo cha afya kwenda kingine mpaka rufaa kutoka hapo
 
Back
Top Bottom