Ni aibu Prof. Sifuni Mchome kufanya kazi na Dr. Ndalichako Joyce!

Kiukweli elimu ya hapa kwetu bongo IPO chini sana ukilinganisha na wenzetu inabidi kushughikiwa
 
Prof Mchome na Dr Kawambwa kwa kweli wameharibu elimu, HAWAFAI KABISA.

Wamefanya kama baadhi ya shule za private kutunga vijimitihani chini ya kiwango,ambapo mwanafunzi anapata A mpaka form 4, mzazi unafurahi. Mtihani wa taifa mwanafunzi huyo anapata Div.3 ya mwisho na hiyo shule haina div 1 wala 2 au 3 ya kueleweka.
 
Ninaunga mkono hoja na ninamuomba sana Mh. Rais Magufuli amtoe Mchome wizarani haraka sana. Audha, awaondoe wateule wote wa Kikwete. Aliwateuwa kwa maslahi binafsi. Kwa pekee nimshukuru mono Rais Magufuli kwa kumteua Dr. Ndalichako. Amhamishe kabisa Mchome kwa kuwa atamuwekea kigingi Dr.asisonge mbele. Rais makini na wateule makini. Bravo Dr President.
 
Daaah kumbe huyo prof ndo alie weka div5 na ndo alieleta mambo ya distinction.. Ni ajabu sanaaa. Naskia Ndalichako alimgomea kustandadize matokeo kidato cha nne ya 2012 yaliyoivua nguo selikari. Baada ya kuona huyu mama ana msimamo wa kweri ikabidi amuanzishie zengwe.
Then akili ya uprof ikabidi itumike ili kupunguza makali ya watoto kuwa wajinga ndo tukaanza kupata div5=0
 
Huyu ndio profesa aliye shauri divisheni ziro iitwe divisheni 5 ili ufaulu uongezeke!

Kama hujui mambo better to zip-up your big mouth! huyu ndio aliyepinga hadi kulazimisha kuondolewa NECTA, Achaneni na vistori vya gahawa!
 
Huyu ndio profesa aliye shauri divisheni ziro iitwe divisheni 5 ili ufaulu uongezeke!

Alidhalilisha wadhifa wa Prof. Hivi hawa ma-prof huwa wanakaliaga akili wanapokaa kufanya maamuzi? Sasa GPA ya 0.3 ndio nini? Madaraja kibao O-level utadhani ili tu wavuke 'mto'.
 
Kwani kati ya ndarichako na mchome ni nani alieleta div 5,distinction? Huyo ndie aliharibu elimu bongo ba hafai milele
 
Yaani huyu jamaa namchukia sana..eti anaanzisha division 5 na div four ya poin 49.. naomba afukuzwe haraka ametuaribia sana vijana wetu
 
Sio kweli mkuu,enzi za mkapa na munvai kilichouliwa ni UMITASHUMNTA na UMISETA basi,ila kuhusu elimu ilikuwa poa kabisa

Loooh, hata hukumbuki kuwa licha ya kuua UMITASHUMNTA na UMISETA; Mungai vilevile aliua masomo ya Physics Chemistry na Biology na kuja na kitu kinaitwa General Science katika ngazi ya O level. Athari yake mikondo
ngazi ya A level
iliyokuwa inategemea Physics Chemistry na Biology iliathirika. Vile vile vyuo vilivyokuwa vinategemea wanafunzi wa mikondo ya Physics Chemistry na Biology viliathirika. Katika sekta ya Elimu waliwahi kutuvuga mambo mmojawapo ni huyo Mungai
 
Sifuni kaharibu sana elimu yetu;yaani bora warudishe divisions kwa shule za secondary kama ilivyokuwa mwanzo;yani huyu Mchome kwa kweli katuulia kabisa elimu yetu ,huyu baba huyu sina hamu nae kabisa:Magufulu naomba umuondoe huyu babu mpenda dogodogo hapo wizarani
 
Back
Top Bottom