Ni aibu Prof. Sifuni Mchome kufanya kazi na Dr. Ndalichako Joyce!

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,772
36,648
Ni matumani yangu kuwa Prof. Sifuni Mchome ambaye alitoka pale kitivoni UDSM ataamua kwa hekima na busara zake kung'atuka kutoka kwenye wadhifa wa katibu mkuu wizara ya elimu, sayansi na technologia pamoja na mafunzo ya ufundi anaotumikia kwa sasa!

Wakati Joyce Ndalichako (Dr. wa taaluma ya hisabati pamoja na tehama) akiwa katibu mtendaji wa baraza la mitihani (NECTA), Prof. Sifuni aliteuliwa na Kikwete aliyekuwa rais kuchunguza madudu ya NECTA kwenye maswala ya mitihani.

Prof. Sifuni aliibuka na tuhuma nzito dhidi ya Dr. Ndalichako na hapo kukaanza mambo lukuki yaliyopelekea Dr. Ndalichako kung'oka NECTA kwa mizengwe. Prof. Sifuni alikaimu nafasi yake na baadaye akateuliwa na Kikwete kuwa katibu mkuu wa wizara inayohusika na elimu na ubunifu wa Tanzania.

Kwa dhati kabisa nilimpinga Prof. Sifuni kwa matendo yake ya makusudi kuvuruga elimu! Aliivuruga elimu ikavurugika! Alijifanyia anavyotaka! Natamani kizazi kilichopitia BRN kifutike ili tuanze moja!

Mbaya zaidi Sifuni alimtuhumu Ndalichako kwa maslahi binafsi! Wakaunda timu na Kawambwa wakaanza kufanya yao! Kwa hakika waliyafanya!

Kwa dhati kabisa, Sifuni asisubiri kufukuzwa! Ajipime aondoke mapema! Asipofanya hivyo atafukuzwa! Na wengi wetu tunaliunga hilo mkono kwa dhati kabisa! Hatuwezi kuwa na wavurugaji halafu tukahubiri mabadiliko!
 
Mkuu usihofu, utumishi wa umma ndio ulivyo. Leo wewe mesenja wangu, kesho manaja wangu!
 
Ni matumani yangu kuwa Prof. Sifuni Mchome ambaye alitoka pale kitivoni UDSM ataamua kwa hekima na busara zake kung'atuka kutoka kwenye wadhifa wa katibu mkuu wizara ya elimu, sayansi na technologia pamoja na mafunzo ya ufundi anaotumikia kwa sasa!

Wakati Joyce Ndalichako (Dr. wa taaluma ya hisabati pamoja na tehama) akiwa katibu mtendaji wa baraza la mitihani (NECTA), Prof. Sifuni aliteuliwa na Kikwete aliyekuwa rais kuchunguza madudu ya NECTA kwenye maswala ya mitihani.

Prof. Sifuni aliibuka na tuhuma nzito dhidi ya Dr. Ndalichako na hapo kukaanza mambo lukuki yaliyopelekea Dr. Ndalichako kung'oka NECTA kwa mizengwe. Prof. Sifuni alikaimu nafasi yake na baadaye akateuliwa na Kikwete kuwa katibu mkuu wa wizara inayohusika na elimu na ubunifu wa Tanzania.

Kwa dhati kabisa nilimpinga Prof. Sifuni kwa matendo yake ya makusudi kuvuruga elimu! Aliivuruga elimu ikavurugika! Alijifanyia anavyotaka! Natamani kizazi kilichopitia BRN kifutike ili tuanze moja!

Mbaya zaidi Sifuni alimtuhumu Ndalichako kwa maslahi binafsi! Wakaunda timu na Kawambwa wakaanza kufanya yao! Kwa hakika waliyafanya!

Kwa dhati kabisa, Sifuni asisubiri kufukuzwa! Ajipime aondoke mapema! Asipofanya hivyo atafukuzwa! Na wengi wetu tunaliunga hilo mkono kwa dhati kabisa! Hatuwezi kuwa na wavurugaji halafu tukahubiri mabadiliko!

CC. Dr. Magufuli japo siijui id yake humu ila naamini haya maelezo atayafanyia kazi.
 
nikweli mkuu. Magufuli popote hebu lifanyie kazi hili. tunakuomba sana.
 
Ni matumani yangu kuwa Prof. Sifuni Mchome ambaye alitoka pale kitivoni UDSM ataamua kwa hekima na busara zake kung'atuka kutoka kwenye wadhifa wa katibu mkuu wizara ya elimu, sayansi na technologia pamoja na mafunzo ya ufundi anaotumikia kwa sasa!

Wakati Joyce Ndalichako (Dr. wa taaluma ya hisabati pamoja na tehama) akiwa katibu mtendaji wa baraza la mitihani (NECTA), Prof. Sifuni aliteuliwa na Kikwete aliyekuwa rais kuchunguza madudu ya NECTA kwenye maswala ya mitihani.

Prof. Sifuni aliibuka na tuhuma nzito dhidi ya Dr. Ndalichako na hapo kukaanza mambo lukuki yaliyopelekea Dr. Ndalichako kung'oka NECTA kwa mizengwe. Prof. Sifuni alikaimu nafasi yake na baadaye akateuliwa na Kikwete kuwa katibu mkuu wa wizara inayohusika na elimu na ubunifu wa Tanzania.

Kwa dhati kabisa nilimpinga Prof. Sifuni kwa matendo yake ya makusudi kuvuruga elimu! Aliivuruga elimu ikavurugika! Alijifanyia anavyotaka! Natamani kizazi kilichopitia BRN kifutike ili tuanze moja!

Mbaya zaidi Sifuni alimtuhumu Ndalichako kwa maslahi binafsi! Wakaunda timu na Kawambwa wakaanza kufanya yao! Kwa hakika waliyafanya!

Kwa dhati kabisa, Sifuni asisubiri kufukuzwa! Ajipime aondoke mapema! Asipofanya hivyo atafukuzwa! Na wengi wetu tunaliunga hilo mkono kwa dhati kabisa! Hatuwezi kuwa na wavurugaji halafu tukahubiri mabadiliko!

unataka aje nani mmempigi debe mtumishi wenu sasa mnampinga aliyemuanika
 
Ni matumani yangu kuwa Prof. Sifuni Mchome ambaye alitoka pale kitivoni UDSM ataamua kwa hekima na busara zake kung'atuka kutoka kwenye wadhifa wa katibu mkuu wizara ya elimu, sayansi na technologia pamoja na mafunzo ya ufundi anaotumikia kwa sasa!

Wakati Joyce Ndalichako (Dr. wa taaluma ya hisabati pamoja na tehama) akiwa katibu mtendaji wa baraza la mitihani (NECTA), Prof. Sifuni aliteuliwa na Kikwete aliyekuwa rais kuchunguza madudu ya NECTA kwenye maswala ya mitihani.

Prof. Sifuni aliibuka na tuhuma nzito dhidi ya Dr. Ndalichako na hapo kukaanza mambo lukuki yaliyopelekea Dr. Ndalichako kung'oka NECTA kwa mizengwe. Prof. Sifuni alikaimu nafasi yake na baadaye akateuliwa na Kikwete kuwa katibu mkuu wa wizara inayohusika na elimu na ubunifu wa Tanzania.


Kwa faida ya wasomaji na wachangiaji epu tupia hizo tuhuma au kama unaripoti ya uchunguzi kuhusiana na hilo fanya hivyo!.
 
tatizo la elimu ya nchi sio mtu mmoja mmoja ila ni CCM nzima kwa ujumla. hawa wapuuzi ndio waliochakachua elimu yetu na kuifikisha hapa ilipo.
 
tatizo la elimu ya nchi sio mtu mmoja mmoja ila ni CCM nzima kwa ujumla. hawa wapuuzi ndio waliochakachua elimu yetu na kuifikisha hapa ilipo.

msisahau joseph mungai ndie alianza kuiua elimu ya bongo
 
Utasubiri sana, hajiuzulu wala nini. Hapo ndio utakapo jua maprofesa wengi wa tanzania ni wa chumia tumbo. Hawako tayari kutetea wanachokiamini na walicho kisomea. Ila wanakipigania kile kinacho wapa kula. Wanatutia aibu sana katika jukwaa la kimataifa. Hata uje na theory ambayo haiwezi kuleta mafanikio ila ukimteua anauweka uprofesa wake kando ana anza kupiga dili lako. ( N.B Pengine ni wengi lakini si wote )
 
Ni matumani yangu kuwa Prof. Sifuni Mchome ambaye alitoka pale kitivoni UDSM ataamua kwa hekima na busara zake kung'atuka kutoka kwenye wadhifa wa katibu mkuu wizara ya elimu, sayansi na technologia pamoja na mafunzo ya ufundi anaotumikia kwa sasa!

Wakati Joyce Ndalichako (Dr. wa taaluma ya hisabati pamoja na tehama) akiwa katibu mtendaji wa baraza la mitihani (NECTA), Prof. Sifuni aliteuliwa na Kikwete aliyekuwa rais kuchunguza madudu ya NECTA kwenye maswala ya mitihani.

Prof. Sifuni aliibuka na tuhuma nzito dhidi ya Dr. Ndalichako na hapo kukaanza mambo lukuki yaliyopelekea Dr. Ndalichako kung'oka NECTA kwa mizengwe. Prof. Sifuni alikaimu nafasi yake na baadaye akateuliwa na Kikwete kuwa katibu mkuu wa wizara inayohusika na elimu na ubunifu wa Tanzania.

Kwa dhati kabisa nilimpinga Prof. Sifuni kwa matendo yake ya makusudi kuvuruga elimu! Aliivuruga elimu ikavurugika! Alijifanyia anavyotaka! Natamani kizazi kilichopitia BRN kifutike ili tuanze moja!

Mbaya zaidi Sifuni alimtuhumu Ndalichako kwa maslahi binafsi! Wakaunda timu na Kawambwa wakaanza kufanya yao! Kwa hakika waliyafanya!

Kwa dhati kabisa, Sifuni asisubiri kufukuzwa! Ajipime aondoke mapema! Asipofanya hivyo atafukuzwa! Na wengi wetu tunaliunga hilo mkono kwa dhati kabisa! Hatuwezi kuwa na wavurugaji halafu tukahubiri mabadiliko!


Division 5 nayo ni jipu,limeshakwiva litumbuliwe.
 
Back
Top Bottom