Kwahiyo wenzie wakifanya kazi siku 6 yeye anafanya kazi siku 5.
Apelekwe kwenye nmb branch zinazofanya kazi hadi jumapili kama mliman city. Ili jumapili zote yeye awepo kufidia j mos
Kwahiyo wenzie wakifanya kazi siku 6 yeye anafanya kazi siku 5.
Na hapo ndipo atakapowazibia wasabato wengine kuajiriwa huko nmb. Na unakuta wengine ni wasabato jina tu.Apelekwe kwenye nmb branch zinazofanya kazi hadi jumapili kama mliman city. Ili jumapili zote yeye awepo kufidia j mos
Yote hiyo ni kumuogopa? Kwa kuwa yeye anafanya kazi vizuri kuliko wote?Apelekwe kwenye nmb branch zinazofanya kazi hadi jumapili kama mliman city. Ili jumapili zote yeye awepo kufidia j mos
Unaweza kufa kwa msongo wa mawazokesi za mahakama kama hizi na kusubiri mafao ya nssf inabidi ufanye na mambo mengine ..si kwa hukumu ilivyochukua muda ivo.. over 8 years daah..kama ulikua unakopa kusubiri mpunga uingie basi hapo inakula kwako
Bado hujatuwekea nakalaNawasilisha kwenu Nakala za Hukumu za Mahakama kuu na Mahakama ya Rufaa.
Uzuri taasisi nyingi za umma naona huwa wansheshimu sana suala la imani za watu, nakumbuka wakati niko pale udsm tulikua na kawaida ya kufanya test siku ya jumamosi,ila wasabato wao walikua wanafanya special test siku ya jumapili.Siyo hapo tu, kote! TRA, Tanesco, TPA, ATCL, nk, hawatataka tena Wasabato!
Suala la msingi hapo ni unyenyekevu! Humlazimishi kufanya hivyo, na wala hawajibiki!Uzuri taasisi nyingi za umma naona huwa wansheshimu sana suala la imani za watu, nakumbuka wakati niko pale udsm tulikua na kawaida ya kufanya test siku ya jumamosi,ila wasabato wao walikua wanafanya special test siku ya jumapili.
Jumamosi na Jumapili ni public holidays, hivyo wanalipwa mara mbili ya malipo ya kawaida. wtaumishi wengi wanazipenda hizi sikuSiyo hapo tu, kote! TRA, Tanesco, TPA, ATCL, nk, hawatataka tena Wasabato!
ile miti ya Bob?Kama vipi tuajiriwe siye waabudu miti. Ibada yetu hua inakua mwisho wa mwaka tena usiku mida ambayo ofisi zimefungwa
Kwani kwenye CV wanaandikaga dini?Na hapo ndipo atakapowazibia wasabato wengine kuajiriwa huko nmb. Na unakuta wengine ni wasabato jina tu.
Sawa kabisa. Sasa kuna zile kazi ambazo ni mandatory, mfano manesi, Madaktari, nk,Jumamosi na Jumapili ni public holidays, hivyo wanalipwa mara mbili ya malipo ya kawaida. wtaumishi wengi wanazipenda hizi siku
Wataanza kuuliza kwenye interviewKwani kwenye CV wanaandikaga dini?