MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,678
- 15,497
Bwangwao ebi kyoma ,naona aibu mtaani na hizi sifa zangu ninaloKama amebashite hakikisha anarudia huo mtihani at least apate cheti tu.
Bwangwao ebi kyoma ,naona aibu mtaani na hizi sifa zangu ninaloKama amebashite hakikisha anarudia huo mtihani at least apate cheti tu.
Watoto ambao wamefeli awamu hii watakua walizingua kabisa sababu waliofaulu ni 92% kati ya 100%Iliyokuwa shule yangu ina Zero 1 na IV 1 😥
Watoto ambao wamefeli awamu hii watakua walizingua kabisa sababu waliofaulu ni 92% kati ya 100%
🤔🤔Mpola muno Mkama akue AmaniBwangwao ebi kyoma ,naona aibu mtaani na hizi sifa zangu ninalo
Sisi tunaamini kwenye hatma baada ya makaratasi na sio kiingereza kukiongea coz kiingereza sio hela Wala pesa ya kununulia chai!!Kuwapa Mzimuni Sec mtihani sawa na St Francis Girls sec ni uonevu. Hawa watoto wa St Francis wote One ya 7. Mzee LIKUD bado unaamini kwenye St Kayumba? Nenda kaangalie Mzimuni Sec
Haijawahi kutokea! Nimeshangaa hata mimi 477262 kati ya 516695Kumbe ufaulu ni mkubwa namna hiyo
Amina watata ,kenyame kwanza maana nakutela nyita kileki🤔🤔Mpola muno Mkama akue Amani
Ufaulu wa serikali huwa wanhesabu kuanzia D mbili Kwa upande wa form four .Kumbe ufaulu ni mkubwa namna hiyo
Mganyile ,Amina watata ,kenyame kwanza maana nakutela nyita kileki
Mkuu,Kijana wako amepata bashite au ? Au kapata marks za kuchukulia Cheti.
Mtoto wako hajafanya vizuri?Mkuu,
Ni kama msiba vile 😔 Ila dogo niliwai mfanyia assessment mambo ya kawaida mfano..
Mathematics alikua kaikatia tamaa, history mambo ya msingi hayajui... Geo haipandi..Civics , kiswa, English, biology mahangaiko
Bora angetafuta C zake japo 3
Dah wewe jamaaKama wazazi ni vilaza inabidi wazae watoto wengi ili kubahatisha mwenye akili.
mwenye link aniwekee hapa tafadhali...