Nyalandu alikua ccm miaka mingapi asizijue mbinu za ccm kuiba kura na jinsi ya kuzizuia??kama hajui ama haelewi wizi wa kura unafanyikaje basi hilo ni galasa halina mchango wowoteChadema wangeacha tu, kwa jinsi ninavyo wafahamu ccm hawawezi kuruhusu nyarandu arudi bungeni tena watamng'ang'ania huko jimboni hata kwa kumuibia kura asirudi
Umeongea ukweli usio chembe ya unafikiIngekuwa mm ndo Mwenyekiti wa Chadema nisingempa apeperushe bendera ya chama hope kuna mgombea wa 2015 aliyepambana na Nyalandu ningemkabidhi apeperushe benderaaa hawa watu wanaohamaham siyo wa kuaminiwa kabisa........
Haha hahahahaha dis is gradual processExactly hakuna mpinzani atakayerudi bungeni
2+2=4
Kwa Ccm
2+2=22
Usitegemee kushinda au kutangazwa kushinda?Aisee kwa hali jinsi ilivyo, usitegemee upinzani kushinda jimbo lolote hapo!
Mkuu ukisusa wenzio wanakula, sasa sijui utakuwa umemkomoa nani? Hapa watafute njia ya kupambana na POLISI na UVCCM! Pia kuna huu ujinga wa kuwanyima barua mawakala wa vyama vya upinzani! Hapo red brigade wajiandae kuwateka ma-DED wanaofanya ujinga huo!Nitashangaa sana kama Chadema watakubali kushiriki uchaguzi huu.
Namshauri Nyalandu atunze heshima yake ajiweke pembeni na ubatili huu.
Tunawapa onyo Chadema, mkishiriki uchaguzi huu Freeman Mbowe jiandae kutujuwa invisibles, tutakung'owa hata kwa mapanga kwenye hiyo nafasi yako.
Wewe Mbowe utakuwa ni sehemu ya wasaliti wa Taifa hili.
Movement iliyopo sasa tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Freeman Mbowe ukienda kinyume na hili tutakushikisha adabu.
Tunakuamini, usinaswe na huu mtego wa maccm.
Ndo akili zenu za kumuua na kumzika mbwa kwa kamera hiziCHADEMA msishiriki
Mkuu mbona 2015 Lowassa alifanikiwa kuinunua Chadema yote tena kwa dau zuri. Wanasiasa wengi wanatanguliza maslahi yao huwa nawaonea huruma sana Wafuasi, Mashabiki, Wapambe na Wananchi wa Kawaida. Maana haya Makundi niliyoyataja huwa yanapenda pale wasipopendwa.Kwa sasa ccm inanunua diwani kati ya million 20 - 25 na wabunge ni kati ya 50-100 milioni. Slave trade again