Ndugu zangu, muda mwingine sisi wenyewe tunawapa nafasi maadui zetu watudhuru

Expensive life

JF-Expert Member
May 2, 2020
2,882
9,261
Habari za jumapili wadau? Tunaishi kwenye jamii ambazo hazipendi kuona wengine wakifanikiwa.

Wengi wetu tumekuwa tukipenda kuweka wazi mipango yetu, hasa kwenye social network, WhatsApp, insta etc.

Sijui lengo huwa ni nini? Kuwaringishia wengine au kuwahamasisha wengine.

Nina mkasa wa rafiki yangu ambaye tulikuwa tukifanya kazi pamoja, ni mwanaume, ila alipenda sana kushare mipango yake WhatsApp status.

Watoto wake wakiwa wanaenda shule ataposti wakiwa wanapanda gari, ( school bus).

Hata alipoenda kununua kiwanja alipost, nimenunua kiwanja, hata alipoanza ujenzi alpost gari likibeba matofali.

Akaanza kujenga msingi wa nyumba akapost, huwezi amini nyumba ilikomea kwenye msingi, balaa sijui lilitokea wapi alifukuzwa kazi.

Minong’ono ilianza baada ya kufukuzwa kazi ngoja tuone sasa, si alikuwa anaringa, maisha yalibadilika ghafla watoto akawatoa private akawaleta santi kayumba, kazi kupata ikawa ngumu kicha ya elimu aliyonayo.

Usafiri ameuza, sasa hivi anagongea vibarua vya ujenzi ili familia iishi, mara nyingi nakaa nae anajiuliza ni wapi nimekosa mimi? Nabikia kumtia tu moyo ni mapito tu haya.

Ndugu zangu mipango yako ni ya kwako, haina faida yeyote wengine waijue, jamii zetu nyingi ni za kinafiki tunafuatiliana sana, hivyo kama utakuwa mtu wa kuweka wazi mipango yako nakupa pole.
 
Habari za jumapili wadau? Tunaishi kwenye jamii ambazo hazipendi kuona wengine wakifanikiwa.

Wengi wetu tumekuwa tukipenda kuweka wazi mipango yetu, hasa kwenye social network, WhatsApp, insta etc.

Sijui lengo huwa ni nini? Kuwaringishia wengine au kuwahamasisha wengine.

Nina mkasa wa rafiki yangu ambaye tulikuwa tukifanya kazi pamoja, ni mwanaume, ila alipenda sana kushare mipango yake WhatsApp status.

Watoto wake wakiwa wanaenda shule ataposti wakiwa wanapanda gari, ( school bus).

Hata alipoenda kununua kiwanja alipost, nimenunua kiwanja, hata alipoanza ujenzi alpost gari likibeba matofali.

Akaanza kujenga msingi wa nyumba akapost, huwezi amini nyumba ilikomea kwenye msingi, balaa sijui lilitokea wapi alifukuzwa kazi.

Minong’ono ilianza baada ya kufukuzwa kazi ngoja tuone sasa, si alikuwa anaringa, maisha yalibadilika ghafla watoto akawatoa private akawaleta santi kayumba, kazi kupata ikawa ngumu kicha ya elimu aliyonayo.

Usafiri ameuza, sasa hivi anagongea vibarua vya ujenzi ili familia iishi, mara nyingi nakaa nae anajiuliza ni wapi nimekosa mimi? Nabikia kumtia tu moyo ni mapito tu haya.

Ndugu zangu mipango yako ni ya kwako, haina faida yeyote wengine waijue, jamii zetu nyingi ni za kinafiki tunafuatiliana sana, hivyo kama utakuwa mtu wa kuweka wazi mipango yako nakupa pole.
Wanatheolojia wanasema hivi: Shetani hajui unachowaza ila anaona unachotenda,hivyo huwatumia Binadamu wabaya kama yeye kukutenda anavyotaka kwa kuwashawishi!
 
Habari za jumapili wadau? Tunaishi kwenye jamii ambazo hazipendi kuona wengine wakifanikiwa.

Wengi wetu tumekuwa tukipenda kuweka wazi mipango yetu, hasa kwenye social network, WhatsApp, insta etc.

Sijui lengo huwa ni nini? Kuwaringishia wengine au kuwahamasisha wengine.

Nina mkasa wa rafiki yangu ambaye tulikuwa tukifanya kazi pamoja, ni mwanaume, ila alipenda sana kushare mipango yake WhatsApp status.

Watoto wake wakiwa wanaenda shule ataposti wakiwa wanapanda gari, ( school bus).

Hata alipoenda kununua kiwanja alipost, nimenunua kiwanja, hata alipoanza ujenzi alpost gari likibeba matofali.

Akaanza kujenga msingi wa nyumba akapost, huwezi amini nyumba ilikomea kwenye msingi, balaa sijui lilitokea wapi alifukuzwa kazi.

Minong’ono ilianza baada ya kufukuzwa kazi ngoja tuone sasa, si alikuwa anaringa, maisha yalibadilika ghafla watoto akawatoa private akawaleta santi kayumba, kazi kupata ikawa ngumu kicha ya elimu aliyonayo.

Usafiri ameuza, sasa hivi anagongea vibarua vya ujenzi ili familia iishi, mara nyingi nakaa nae anajiuliza ni wapi nimekosa mimi? Nabikia kumtia tu moyo ni mapito tu haya.

Ndugu zangu mipango yako ni ya kwako, haina faida yeyote wengine waijue, jamii zetu nyingi ni za kinafiki tunafuatiliana sana, hivyo kama utakuwa mtu wa kuweka wazi mipango yako nakupa pole.
Huyo mzembe sana. Aendelee kuwapostia hata hizo hustles za vibaruani huko ili mkome kumhukumu. Labda useme ameuza hadi simu. Maisha yakogo hivyo tuuu. Kupanda na kushuka
 
Ujaelewa uzi kaka
Mipango inatakiwa kifanyika sirini watu waone matokeo
Same kwa hao uliowataja unajua strategic ambazo zipo kichwani mwa elon musk,mo na dangote
Naelewa huwezi jua kila kitu kilichopo kwenye mawazo ya mtu, hata mtu akipost Kanunua kiwanja hatujui hela alipataje , huenda kapost kumotivate wengine so watakao amua kuchukia ni juu yao.

Binafsi nakubali kuwa wapo watu wasiofurahishwa na mafanikio ya wengine, ila siamini kama mtu anaweza kuzuia baraka zisikufikie kisa ameona unamaendeleo.

If it was meant to happen, It will happen and the vice verse is true.
 
Naelewa huwezi jua kila kitu kilichopo kwenye mawazo ya mtu, hata mtu akipost Kanunua kiwanja hatujui hela alipataje , huenda kapost kumotivate wengine so watakoa amua kuchukia ni juu yao.

Binafsi nakubali kuwa wapo watu wasiofurahishwa na mafanikio ya wengine, ila siamini kama mtu anaweza kuzuia baraka zisikufikie kisa ameona unamaendeleo.

If it was meant to happen, It will happen and the vice verse is true.
Hii case imemkuta bro wangu asaivi yupo anahangaikia kula tu
 
Kupanda na kushuka kupo, ila hizo mambo za show off ni wale wanaopenda kuwaprove watu wrong, sasa mambo yakija juu chini ndio hapo mbilinge za kukimbiana barabarani huanza, maana lile life la mtandaoni hana anaogopa kuumbuka.

Ila sionagi faida ya kupost hizo mbanga sijui umekula kuku unapost, umenunua kiwanja, unaanza ujenzi mpaka finishing kila hatua unapost as if unatoa taarifa kwa wakuu wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom