Ndoa yangu ina hali tete

Miaka6 kwenye ndoa na ana miaka 28 maana take mlioana akiwa na miaka 22. Huyo alikuwa hajamaliza stage ukakimbilia kumuoa na sasa anaona aliidhulumu nafsi yake.
Mkiambiwa muoe mishangazi ya25+ mnakataa mnakimbilia watoto😂😂😂ona sasa anakuona babu yake. Ipo siku atakuambia ulimbaka.
Asante dada
Wanatuona sio wife material🤣🤣🤣
 
Habari wakuu,

Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.

Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.

Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.

MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa

LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."

Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.

Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.

NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
That is a huge red flag. Mkeo anakujengea hoja kisaikolojia ya kwenda kuliwa nje. Amempata bodaboda ndo maana anakuambia huo upuuzi. Kwani ulimlazimisha kuolewa?

Hapo huna chako, tafuta mke mwingine uoe na hakikisha anajua kama umeoa.
 
Tengeneza kwanza zipu yako mkuu ndo uje kulialia hapa...(Jokes)........back kwa topic ni hivi simpo tu mzee mwenzangu mzalishe chap huyo karibu anaokotwa sehemu.....akishazaa mara kadhaa ye ndo atageuka mkubwa na mzee kwako....
 
Anakuandaa kisaikolojia ili timbwili likianza usione mambo mapya !wanawake uwa wanashindwa kabisa kuficha hisia zao kama atakuwa amepata mtu nje uwa ndio wakati anapoona mapungufu yako lakini akiwa kwenye deep love hayo mambo ya uzee au sio handsome uwa hayaoni kabisa,ukute huyo mme mwenzako ndio Ali comment kuwa aliolewa mapema na wewe ni Mzee kwake!anyway jiandae Kwa vita "soon moto utawaka so long as kuna moshi"
 
Pakia mkongo huyooo kuna kijana tayari kaunganisha bao 2 kwa 1.........sasa anakuona huna jipya ...........nasema pakia mkongo sugua hiyo papa mpaka akumbuke siku aliyotolewa usichana wake............atapata adabu yake
 
kabisa,ukute huyo mme mwenzako ndio Ali comment kuwa aliolewa mapema na wewe ni Mzee kwake!anyway jiandae Kwa vita "soon moto utawaka so long as kuna moshi"
Chukua hiyo point zipumbovu itakusaidia maishani.

Ili jamaa aendelee kummiliki lazima amdanganye hivyo na wewe ukimwacha anaenda olewa na wa miaka 40
 
Duuuh hana akili huyo.

Sooni utaanza kuchapiwa, anza kujiandaa kwa lolote lile.
Achapiwe mara ngapi mwambie ukweli kakutana na vijana wadogo wanasimamia mpaka kucha ndio maana ana muona jamaa yetu mzee😂 vijana wadogo wanasimamia kucha kama wapo kwenye mashindano ya kugombania kombe la Dunia 😂
 
Habari wakuu,

Leo nimeona nije niwaletee maswaibu yangu yanayo nikabiri kwenye ndoa yangu.

Mimi na mke wangu tuna miaka 6 ndani ya ndoa yetu, miaka mi 5 ya nyuma mambo yalikuwa safi kabisa, ila huu mwaka wa 6 umekuwa na heka heka nyingi mno.

Mambo ni mengi sana ila Leo tuanzie hapa.

MKE WANGU ANANIONA MIMI NI MZEE KWAKE
Mimi na yeye tumepisha umri wa miaka 6 yaani nimempita miaka 6 ya kuzaliwa

LEO ananiambia "wewe umenipita miaka mingi sana, yaani miaka 6 ni mingi sana, ilitakiwa angalau unipite miaka 2, wewe ni mkubwa sana kwangu, ilitakiwa tupishane miaka 2, ulinioa nikiwa mdogo, kwani hukujua kuwa umenipita miaka mingi."

Mimi nilikaa zangu kimya nikitafakari maneno yake, inanishangaza kuniona Mimi ni mzee Kwake, najiuliza maswali kama Leo sijafikisha hata miaka 40 lakini ananiona age go, je? Uzeeni si ataninyanyasa sana.

Nasubiri maoni yenu wakuu, nilipanga nimuwezeshe kibiashara lakini naona bora nimuache awe mama wa nyumbani tuu, na hiyo pesa ya mtaji Bora nimtumie mama yangu aitafune taratibu.

NB: Umri wangu Mimi ni miaka 34 na yeye umri wake ni miaka 28
Sababu;-

1. Huna jipya Tena kakuzoea
2.kapata kijana anamkuna vizuri hasa Hawa gen z!
3.unakula wanga na sukari sana,umenenepa sana sio potable kama zamani,kibamia plus tumbo haichomi deep Tena,heb jaribu kumuinamisha halafu press Kwa speed asiposhtuka maana yake kisu chako butu,hakichomi maini!

Utafanyaje!!

1.kunywa vikombe viwili Hadi tatu vya kahawa nyeusi usiku baada ya kula,pia kula Kwa kiasi ACHA kufakamia mawanga,asubuhi kunywa Tena vikombe vitatu kahawa kabla ya kula chochote,utashusha choo Cha kutosha baada ya hapo kanywe supu plus vitumbua tati au nne au viazi ulaya na supu!mchana kula kiasi ,usiku pia ,rudia zoezi la kahawa pia!!

Ukifanya hayo uta maintain weight plus ngozi kuwa na mng'ao wa ngozi!

Kama kahawa huna tumia chai isiyo na sukari!! Kwa style hiyo Kila siku!
 
That is a huge red flag. Mkeo anakujengea hoja kisaikolojia ya kwenda kuliwa nje. Amempata bodaboda ndo maana anakuambia huo upuuzi. Kwani ulimlazimisha kuolewa?

Hapo huna chako, tafuta mke mwingine uoe na hakikisha anajua kama umeoa.
Hawa wanawake wapo vizuri kwenye kuroga ndugu yangu!

Kama kuongeza jiko lengine aongeze kimya kimya!

Akija kujua mbeleni huko tayari hana namna tukio limeshatokea!
 
Back
Top Bottom