Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
bibie nilikuwa ninaijibu hii comment, ambayo ndiyo iliyoanza kunitukana, sasa what is your problem?
My problem ni wewe kuwaambia wana forum hapa kuwa wana elimu ya form four za kulipia? Hii ni chini ya kiwango chako.
Another problem ni wewe kudai kuwa umesoma na wengine hapa wewe unawajua kuwa hawakusoma.....that's a huge problem.
Otherwise, sina problem yoyote zaidi na wewe.