Nchi ya Saudi Arabia yafungia kuvaa jezi za Barcelona FC, Ukionekana umevaa unafungwa miaka 15 jela

Nimejua kwann kiongozi wa mapinDuzi ya Kiislamu wa Iran Ayatollah khomein alisema "SAUDI'S LEADERS ARE IDIOTS"..
Na ni Monarchy government Ambayo iko Against na haki Nyingi za kibinaDam,MapinDuzi yakifanyika ktk hii State atleast Watapata AKILI..
Marekani akiona Kishanufaika vya Kutosha kwa hawa "IDIOTS" atawaanzishia chokochoko Wakichape Wao wenyewe Just As Usual
 
Back
Top Bottom