Nchi ipi ni Jirani mkubwa kwa Kenya?

Binafsi naona wana taka kuji mwambafy ktk huu ukanda.

Ila Swaiba wa Kenya ni Rwanda maana hao ndio ata kenya ili propose jambo ktk EAC bac Rwanda ni wa kwanza kuunga mkono. Na wa rwanda wana wapenda wa kenya maana warwanda na wao wana taman wawe wana ongea english as their first language
 
Hii michoro tunayo hadi ile ya China belt, hivi mbona TAZARA mlishindwa kabisa kuifanya iweze kuleta faida miaka yote hii, mswahili bana, halafu mlijengewa kama msaada lakini bure kabisa.
Nani Kamwambia TAZARA ilijengwa kama Msaada?
Hakuna tofauti ya TAZARA iliyojengwa miaka ya 70s na Hiyo iliyojengwa kwenu 2016,
 
Marafiki tunao wengi, magharibi na kusini pia.
Flag_of_South_Sudan.svg
 
Hamna siku hata moja ambayo Tanzania imewahi kuizidi Uganda kwa urafiki wa karibu na Kenya. Maana urafiki wa Kenya na Uganda ulianza zamani wakati wa mabeberu. Tanzania pengine ni ya pili kwa umuhimu kwetu na hii inachangiwa sana na the fact that Kenya na Tanzania sote tunazungumza lugha ya Kiswahili kama lugha rasmi ya taifa.
Basi nyie mnawathamini, wao they do not, sababu haiwezekani wawadangayie bomba la mafuta, alafu walilete huku, wawazugie reli, then wanawaacha hewani.
Nyie majamaa bhana, hapo kwa Ug mnajidanganya tu
 
Basi nyie mnawathamini, wao they do not, sababu haiwezekani wawadangayie bomba la mafuta, alafu walilete huku, wawazugie reli, then wanawaacha hewani.
Nyie majamaa bhana, hapo kwa Ug mnajidanganya tu
UG bado wanataka kuunga reli yao na ya Kenya.
 
Sawa, but they are not loyal to you guys, mbona it's obvious
Urafiki haimaanishi loyalty. Wewe nini mbaya na wewe? Ama unapinga kuwa 80% ya imports ya Uganda inapitia bandari ya Mombasa? Unapinga kuwa Uganda wananunua bidhaa nyingi kutoka Kenya kushinda nchi yoyote ya Afrika?
 
Urafiki haimaanishi loyalty. Wewe nini mbaya na wewe? Ama unapinga kuwa 80% ya imports ya Uganda inapitia bandari ya Mombasa? Unapinga kuwa Uganda wananunua bidhaa nyingi kutoka Kenya kushinda nchi yoyote ya Afrika?
Hakuna mbaya boss, nataka uone venye Kenya msivyo na uhusiano nzuri na jirani unayedhani ndio wa kweli, wanapitisha kwenu kwa sababu ndio closest na ndio jirani anapakana nae kwa ardhi ambae ana produce variety of products.
Other than that, hakuna urafiki wowote ule, tena wamewatenda vibaya sana, nashangaa you still rate em like dat
 
Urafiki haimaanishi loyalty. Wewe nini mbaya na wewe? Ama unapinga kuwa 80% ya imports ya Uganda inapitia bandari ya Mombasa? Unapinga kuwa Uganda wananunua bidhaa nyingi kutoka Kenya kushinda nchi yoyote ya Afrika?
Hii bomba ya mafuta ikianza kazi, Tanzania itakua inatengeneza pesa nyingi toka Uganda kuliko biashara zote mnazofanya na Uganda na Rwanda combined
 
Kama kawaida yako unapenda kuongea bila facts.
Kodi tu pekee kwa siku tutapa
14 x 200000 x365 = $1.022B

Hii $1.022B ni kodi pekee ya kupitisha crude oil kwa mwaka wa kwanza ambapo wataanza kwa kupitisha 200K barrels per day.

Mwaka wa pili kiwango kitakua ni 600K barrels per day, hii itatupati $3.1B per year.

Ushahidi gani huwa unataka wakati makubaliano yalishafanyika ni kiasi gani tutalupwa kwa kila pipa moja?
 
Kodi tu pekee kwa siku tutapa
14 x 200000 x365 = $1.022B

Hii $1.022B ni kodi pekee ya kupitisha crude oil kwa mwaka wa kwanza ambapo wataanza kwa kupitisha 200K barrels per day.

Mwaka wa pili kiwango kitakua ni 600K barrels per day, hii itatupati $3.1B per year.

Ushahidi gani huwa unataka wakati makubaliano yalishafanyika ni kiasi gani tutalupwa kwa kila pipa moja?
Hio pipeline maximum capacity yake ni 200k barrels per day. Sasa sijui umetoa hio 600k barrels wapi.
 
Hio pipeline maximum capacity yake ni 200k barrels per day. Sasa sijui umetoa hio 600k barrels wapi.
Tafuta taarifa, hiyo 200K ni starting volume, lakini wanategemea kufikisha 600K ndani ya miaka miwili, kumbuka kwamba kiwango kilichogunduliwa ni 40% ya eneo, kwahiyo kuna uwezekano wa ongezeko la 60%, hawawezi kujenga lenye capacity ndogo wakati wanategemea ongezeko kubwa la crude oil.
 
Tafuta taarifa, hiyo 200K ni starting volume, lakini wanategemea kufikisha 600K ndani ya miaka miwili, kumbuka kwamba kiwango kilichogunduliwa ni 40% ya eneo, kwahiyo kuna uwezekano wa ongezeko la 60%, hawawezi kujenga lenye capacity ndogo wakati wanategemea ongezeko kubwa la crude oil.
Geza Ulole maximum capacity ya hii pipeline itakuwa 200,000 barrels per day au 600,000 barrels per day?
 
Back
Top Bottom