Mimi ni muumini wa demokrasia na uchaguzi huru na haki, na ni mwana mageuzi kutokea NCCR sasa naomba nifahamishwe mikakati iliyopo ya kukabiliana na changamoto za sasa za uchaguzi iwapo watashiriki.
Mimi ninaamini iwapo kama hapatakuwa na mifumo na utashi wa kisiasa CCM lazima ichukue kata, majimbo na Urais na kwa uhakika NCCR hawatapata mbuge hata wa dawa labda kama wana vizia kupata Luzuku kwa ushiriki na idadi ya kura. Vinginevyo tupeni na nyinyi mkakati wenu.
Hiki ni chama cha siasa kina lengo la kushika dola. je kwenye uchaguzi usio wa haki na huru mnatarajia kujinasua vipi. Tupeni mkakati.
Soma
www.jamiiforums.com
Mimi ninaamini iwapo kama hapatakuwa na mifumo na utashi wa kisiasa CCM lazima ichukue kata, majimbo na Urais na kwa uhakika NCCR hawatapata mbuge hata wa dawa labda kama wana vizia kupata Luzuku kwa ushiriki na idadi ya kura. Vinginevyo tupeni na nyinyi mkakati wenu.
Hiki ni chama cha siasa kina lengo la kushika dola. je kwenye uchaguzi usio wa haki na huru mnatarajia kujinasua vipi. Tupeni mkakati.
Soma
Pre GE2025 - NCCR-Mageuzi: Tunayo imani kubwa na mchakato wa uchaguzi kwa sababu tayari mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi yameshafanyika
Chama cha NCCR-Mageuzi kimefanya uchaguzi wake mkuu na kumchagua Evaline Munisi kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Akizungumza baada ya kuchaguliwa, Evaline Munisi, Katibu Mkuu mpya wa NCCR-Mageuzi, ameahidi kurejesha hadhi ya chama hicho kwa kuhakikisha...