Nawezaje kuwa afisa manunuzi? (Procurement Officer )

Mingendeu

Senior Member
Aug 26, 2019
115
237
Mimi ni muhitimu wa shahada ya kwanza ya uhasibu.

Kwenye maswala ya ajira nimeajiriwa na nafanya kazi za mauzo na masoko kwa miaka 6 sasa. Katika kazi zangu, nimejikuta nikivutiwa sana na maafisa wanunuzi.

Hadi kupelekea kutamani kujifunza zaidi kuhusu manunuzi.

Kwa wataalamu, Ni kwa namna gani naweza kubadili fani?

Kutoka uhasibu hadi kuwa afisa manunuzi?? Kozi zipi ni muhimu kusoma?
 
Hapo unatakiwa ukasome course inaitwa procurement & Supply chain / Logistics management. Baada ya hapo unaenda kupiga mitihan ya board ( PSPTB). hapo sas ndo unakuwa kama hao unao watamani sasa.

#KAMA HAUNA CONNECTION ACHANA NA HII KITU WE ENDELEA NA MARKETING MZEE, NINA MAANISHA .
 
Hapo unatakiwa ukasome course inaitwa procurement & Supply chain / Logistics management. Baada ya hapo unaenda kupiga mitihan ya board ( PSPTB). hapo sas ndo unakuwa kama hao unao watamani sasa.

#KAMA HAUNA CONNECTION ACHANA NA HII KITU WE ENDELEA NA MARKETING MZEE, NINA MAANISHA .
Ni vitengo sensitive sana kupata ni issue
 
Hapo unatakiwa ukasome course inaitwa procurement & Supply chain / Logistics management. Baada ya hapo unaenda kupiga mitihan ya board ( PSPTB). hapo sas ndo unakuwa kama hao unao watamani sasa.

#KAMA HAUNA CONNECTION ACHANA NA HII KITU WE ENDELEA NA MARKETING MZEE, NINA MAANISHA .
Afanye mazingatio km hana connection aendelee tu na iyo masoko nimeongezea msisitizo
 
Hapo unatakiwa ukasome course inaitwa procurement & Supply chain / Logistics management. Baada ya hapo unaenda kupiga mitihan ya board ( PSPTB). hapo sas ndo unakuwa kama hao unao watamani sasa.

#KAMA HAUNA CONNECTION ACHANA NA HII KITU WE ENDELEA NA MARKETING MZEE, NINA MAANISHA .
Kwanini usomee kila kitu darasani?

Mimi nimesoma Economics, Finance and Investment kwa level mbalimbali kuanzia dip mpaka Masters.

Ila ni mtaalumu wa kazi za stationery, IT na mambo mengi sana ya computer.

Kuna watu hunitafuta nilembe kazi zao za writting.

Yote haya nimesomea YOUTUBE na muda huu najifunza mambo ya CCTV youtube na google.

Kifupi:-
Degree uliyonayo inatosha, nyengine ni Elimu kitaa tuu

GOOGLE is your BEST FRIEND.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Kwa Nini usiombe ubadili department hapo kazini kwenu uende procurement maana ninavyojua accountant na procurement officer wanafanya kazi pamoja
 
Back
Top Bottom