stevenkatalas
Member
- May 24, 2022
- 43
- 30
Habari wakuu, nahitaji mkopo wa haraka nina shida na kiasi fulani cha pesa, mimi nimuajiriwa mpya wa serikali ila sijatimiza mwaka hivyo kupelekea kukosa sifa ya kupata mkopo kwenye mabanki na taasisi zilizokuwepo kwenye mfumo wa ess.
Nipo mbele yenu kunielekeza nawezaje kupata mkopo kwa haraka.
Asante kwa ushauri.
Nipo mbele yenu kunielekeza nawezaje kupata mkopo kwa haraka.
Asante kwa ushauri.