Nawezaje kuacha kuchukua pesa zao bila kulala nao?

TRUE STORY; nina bahati ya hasa kupendwa na wakaka wa 40+ mpaka 50 huko (hawa wazee nadhani). And nipo 20's mwishoni kabisa bt they use to call me "toto, chakudeka, wengine Mumy etc" ilimradi wanavyojisikia wao☺️🤣, nyie bwana...

Bt Guys please aim ya kuandika hii sio Promo wala kutafuta mtu ni just kushare experience na tufurahi so please.🙏🏾

Sasa issue inakuja, sijui tuite wanatanguliza sana MATERIAL THINGS than utu ili tu kuwin situation chapchap au la, ila me nipo tofauti kiasi, mtu akijishape sana na material things najawa hofu ya kuwa nae I'm like why all these things to me (sijui ndio pepo la umasikini) japo na ujinga wangu NAPOKEA (of course yes napokea, vya maana tu) ila kuna hali ya kufeel mahaba juu yake inatoweka so nakuwa empty crate. inafika kipindi wanakata tamaaa wanaishia zao na wengine wanakuwa marafiki tu tunapeana michongo kulingana na uwezo wao.

Kwa uwazi tu niambieni nawezaje skip hizi mitego za kupokea GIFTS and LITE material kutoka kwa hawa watu bila kukubali kulala nao na wasinidhuru hapo baadae, au ndio what's goes around comes around😭😭.... NAOGOPA
Mdogo wangu hapo hupendwi, unatamsniwa tu, nikupe Siri, sie wanaume huwa tuna "fantasys" Kwamba kile kitoto,(wewe hapo) nikikipata,nikakibinua, nikakipa mikito ndsni nje! Daaaa", at 40,huyo ana mke, na watoto tayari,
Sasa wanataka vi gen Z, kwa vile bado vibichi, hsvijatumika Sana, no love there, it's just maniac sex,
 
Inawezekana kabisa mrembo,

As long as unaelewa kwanini unapewa, ukichukua timiza wajibu wako la hasha unaangukia kwenye wale wa kusubiri 40 zao.

Humu duniani kuna watu mara kibao wanachukua vitu vya wengine bila kulipia. Wanaitwa wezi, matapeli, warushi, vibaka n.k huwa wakifika 40 yao wanatia huruma kweli.
Noted with thanks 🙏🏼
 
hahaha hapo ni kupa nikupe 😁😁😁

Hakikisha hutoki mikono mitupu 🙂‍↔️🙂‍↔️
 
Mdogo wangu hapo hupendwi, unatamsniwa tu, nikupe Siri, sie wanaume huwa tuna "fantasys" Kwamba kile kitoto,(wewe hapo) nikikipata,nikakibinua, nikakipa mikito ndsni nje! Daaaa", at 40,huyo ana mke, na watoto tayari,
Sasa wanataka vi gen Z, kwa vile bado vibichi, hsvijatumika Sana, no love there, it's just maniac sex,
I love it kaka, be blessed
 
TRUE STORY; nina bahati ya hasa kupendwa na wakaka wa 40+ mpaka 50 huko (hawa wazee nadhani). And nipo 20's mwishoni kabisa bt they use to call me "toto, chakudeka, wengine Mumy etc" ilimradi wanavyojisikia wao☺️🤣, nyie bwana...

Bt Guys please aim ya kuandika hii sio Promo wala kutafuta mtu ni just kushare experience na tufurahi so please.🙏🏾

Sasa issue inakuja, sijui tuite wanatanguliza sana MATERIAL THINGS than utu ili tu kuwin situation chapchap au la, ila me nipo tofauti kiasi, mtu akijishape sana na material things najawa hofu ya kuwa nae I'm like why all these things to me (sijui ndio pepo la umasikini) japo na ujinga wangu NAPOKEA (of course yes napokea, vya maana tu) ila kuna hali ya kufeel mahaba juu yake inatoweka so nakuwa empty crate. inafika kipindi wanakata tamaaa wanaishia zao na wengine wanakuwa marafiki tu tunapeana michongo kulingana na uwezo wao.

Kwa uwazi tu niambieni nawezaje skip hizi mitego za kupokea GIFTS and LITE material kutoka kwa hawa watu bila kukubali kulala nao na wasinidhuru hapo baadae, au ndio what's goes around comes around😭😭.... NAOGOPA
Kuchukua hela za wanaume bila kuneng'eneka ni lazima uje kwangu na kuku mjane nikufanyie dawa zangu za kiganga.Karibu mumy!🙏
 
TRUE STORY; nina bahati ya hasa kupendwa na wakaka wa 40+ mpaka 50 huko (hawa wazee nadhani). And nipo 20's mwishoni kabisa bt they use to call me "toto, chakudeka, wengine Mumy etc" ilimradi wanavyojisikia wao☺️🤣, nyie bwana...

Bt Guys please aim ya kuandika hii sio Promo wala kutafuta mtu ni just kushare experience na tufurahi so please.🙏🏾

Sasa issue inakuja, sijui tuite wanatanguliza sana MATERIAL THINGS than utu ili tu kuwin situation chapchap au la, ila me nipo tofauti kiasi, mtu akijishape sana na material things najawa hofu ya kuwa nae I'm like why all these things to me (sijui ndio pepo la umasikini) japo na ujinga wangu NAPOKEA (of course yes napokea, vya maana tu) ila kuna hali ya kufeel mahaba juu yake inatoweka so nakuwa empty crate. inafika kipindi wanakata tamaaa wanaishia zao na wengine wanakuwa marafiki tu tunapeana michongo kulingana na uwezo wao.

Kwa uwazi tu niambieni nawezaje skip hizi mitego za kupokea GIFTS and LITE material kutoka kwa hawa watu bila kukubali kulala nao na wasinidhuru hapo baadae, au ndio what's goes around comes around😭😭.... NAOGOPA
smart seller,
wamejaa hata huku maofisini,
Shabash!!
 
Back
Top Bottom