Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,538
- 7,701
Niko hapa kukusaidiaHii nzuri, naifanyia kazi, inshallah
Niko hapa kukusaidiaHii nzuri, naifanyia kazi, inshallah
Hao ni wazeenina bahati ya hasa kupendwa na wakaka wa 40+ mpaka 50 huko
Mmmh kumbe, let me quit, enjoy your simulationSounds like bt we are just stimulating the brain
Mdogo wangu hapo hupendwi, unatamsniwa tu, nikupe Siri, sie wanaume huwa tuna "fantasys" Kwamba kile kitoto,(wewe hapo) nikikipata,nikakibinua, nikakipa mikito ndsni nje! Daaaa", at 40,huyo ana mke, na watoto tayari,TRUE STORY; nina bahati ya hasa kupendwa na wakaka wa 40+ mpaka 50 huko (hawa wazee nadhani). And nipo 20's mwishoni kabisa bt they use to call me "toto, chakudeka, wengine Mumy etc" ilimradi wanavyojisikia wao☺️🤣, nyie bwana...
Bt Guys please aim ya kuandika hii sio Promo wala kutafuta mtu ni just kushare experience na tufurahi so please.🙏🏾
Sasa issue inakuja, sijui tuite wanatanguliza sana MATERIAL THINGS than utu ili tu kuwin situation chapchap au la, ila me nipo tofauti kiasi, mtu akijishape sana na material things najawa hofu ya kuwa nae I'm like why all these things to me (sijui ndio pepo la umasikini) japo na ujinga wangu NAPOKEA (of course yes napokea, vya maana tu) ila kuna hali ya kufeel mahaba juu yake inatoweka so nakuwa empty crate. inafika kipindi wanakata tamaaa wanaishia zao na wengine wanakuwa marafiki tu tunapeana michongo kulingana na uwezo wao.
Kwa uwazi tu niambieni nawezaje skip hizi mitego za kupokea GIFTS and LITE material kutoka kwa hawa watu bila kukubali kulala nao na wasinidhuru hapo baadae, au ndio what's goes around comes around😭😭.... NAOGOPA
😁Njoo tuongee vizuri basi kiutu uzima "binti mideko" 😋
Noted with thanks 🙏🏼Inawezekana kabisa mrembo,
As long as unaelewa kwanini unapewa, ukichukua timiza wajibu wako la hasha unaangukia kwenye wale wa kusubiri 40 zao.
Humu duniani kuna watu mara kibao wanachukua vitu vya wengine bila kulipia. Wanaitwa wezi, matapeli, warushi, vibaka n.k huwa wakifika 40 yao wanatia huruma kweli.
I love it kaka, be blessedMdogo wangu hapo hupendwi, unatamsniwa tu, nikupe Siri, sie wanaume huwa tuna "fantasys" Kwamba kile kitoto,(wewe hapo) nikikipata,nikakibinua, nikakipa mikito ndsni nje! Daaaa", at 40,huyo ana mke, na watoto tayari,
Sasa wanataka vi gen Z, kwa vile bado vibichi, hsvijatumika Sana, no love there, it's just maniac sex,
Kuchukua hela za wanaume bila kuneng'eneka ni lazima uje kwangu na kuku mjane nikufanyie dawa zangu za kiganga.Karibu mumy!🙏TRUE STORY; nina bahati ya hasa kupendwa na wakaka wa 40+ mpaka 50 huko (hawa wazee nadhani). And nipo 20's mwishoni kabisa bt they use to call me "toto, chakudeka, wengine Mumy etc" ilimradi wanavyojisikia wao☺️🤣, nyie bwana...
Bt Guys please aim ya kuandika hii sio Promo wala kutafuta mtu ni just kushare experience na tufurahi so please.🙏🏾
Sasa issue inakuja, sijui tuite wanatanguliza sana MATERIAL THINGS than utu ili tu kuwin situation chapchap au la, ila me nipo tofauti kiasi, mtu akijishape sana na material things najawa hofu ya kuwa nae I'm like why all these things to me (sijui ndio pepo la umasikini) japo na ujinga wangu NAPOKEA (of course yes napokea, vya maana tu) ila kuna hali ya kufeel mahaba juu yake inatoweka so nakuwa empty crate. inafika kipindi wanakata tamaaa wanaishia zao na wengine wanakuwa marafiki tu tunapeana michongo kulingana na uwezo wao.
Kwa uwazi tu niambieni nawezaje skip hizi mitego za kupokea GIFTS and LITE material kutoka kwa hawa watu bila kukubali kulala nao na wasinidhuru hapo baadae, au ndio what's goes around comes around😭😭.... NAOGOPA
Miaka 50 ni mzee? Biden utamwita nani sasa?Bt nimesema vijana wa 40+ mpaka 50 hao 50 ni uzeeni nadhani
smart seller,TRUE STORY; nina bahati ya hasa kupendwa na wakaka wa 40+ mpaka 50 huko (hawa wazee nadhani). And nipo 20's mwishoni kabisa bt they use to call me "toto, chakudeka, wengine Mumy etc" ilimradi wanavyojisikia wao☺️🤣, nyie bwana...
Bt Guys please aim ya kuandika hii sio Promo wala kutafuta mtu ni just kushare experience na tufurahi so please.🙏🏾
Sasa issue inakuja, sijui tuite wanatanguliza sana MATERIAL THINGS than utu ili tu kuwin situation chapchap au la, ila me nipo tofauti kiasi, mtu akijishape sana na material things najawa hofu ya kuwa nae I'm like why all these things to me (sijui ndio pepo la umasikini) japo na ujinga wangu NAPOKEA (of course yes napokea, vya maana tu) ila kuna hali ya kufeel mahaba juu yake inatoweka so nakuwa empty crate. inafika kipindi wanakata tamaaa wanaishia zao na wengine wanakuwa marafiki tu tunapeana michongo kulingana na uwezo wao.
Kwa uwazi tu niambieni nawezaje skip hizi mitego za kupokea GIFTS and LITE material kutoka kwa hawa watu bila kukubali kulala nao na wasinidhuru hapo baadae, au ndio what's goes around comes around😭😭.... NAOGOPA