Inshallah! Inshallah!
Sasa hawa ndugu zetu wakisha kula Biryani na nyama hua wanaenda matembezini hasa hao wa huko Pwani na Daslam hua wanaenda beaches mbali mbali huko wawe makini na watoto zao maana kwa ule msongamano kuna Watu hua wanawapoteza watoto zao kwa uzembe au bahati mbaya,
Sasa nawapa onyo wazazi humu kuweni seriously mnavyokuja huku
Coco beach,Bahari beach,Ununio huko kigamboni na maeneo mengine yenye msongamano mkubwa,
Lindeni watoto zenu kuna mambo ya hovyo hua yanaendelea sababu penye wengi pana mengi!
Nitawakieni Eid njema japo hata jirani yangu bwana Ostadhi Khamisi kavunga kunipa mualiko sijui ndio vile navyompiga nyundo katika Moja na mbili za kijiwe cha kahawa anapanic na kuniona Kafir la Kigalatia anyway
Sijui sikukuu njema!
😁😁