Dkt. Gwajima D
Minister
- Nov 28, 2015
- 932
- 5,891
Wapendwa wote salaam,
Mwenyezi Mungu awe nasi sote kwenye Maadhimisho haya ya EID AL ADH'HA, 2024.
Naomba tukumbuke kuwalinda watoto wetu wawe salama pamoja na makundi yote yenye mahitaji maalum wakati wote wa kufurahia Sikukuu hii kubwa, In Sha Allah, Amina,
Heri ya Sikukuu kwetu sote.... 🌹