Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,887
- 3,350
We mwache hiyo RB tosha""Hahaha, we unatafuta ugomvi sasa
We mwache hiyo RB tosha""Hahaha, we unatafuta ugomvi sasa
Hapo Nareel agonge Wema na Aika agongwe na Diamond ndio watajulikana fasta fastaviews 2m youtube ndani siku moja
wanapata airtime yakuzidi sana mkuu, na hyo ni mpka vituo vikubwa kama trace tv, few weeks ago kamatia chini iliingia top ten ya ngoma kali africa kwenye trace tv. ngoma zao zina hit sana.Of coz hilo nalo neno....Unadhani wanapata airtime wanayostahili?
Bora camp mulla walionja mafanikio kwa sana ila pah one daah aisee majangaKweli pah one.. ilikuwa kiboko.. walikuwa wanapiga ung'eng'e wa ukweli kama wale camp mulla wa kenya.. haya makundi mawili yalivuma muda kidogo na kuvunjika
Kamata chiniiii kamatia chiniii wapo vizuri balaa wanamzidi hata domo na bibi yake[/QU
Bi kilembwe