Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Nimesoma unauza nyumba ila kwa hizo nyumba na bei tajwa napata shaka kuwa ama umesahau baadhi ya sifuri kwenye hiyo bei au huuzi nyumba ila unauza ramani za nyumba.
Pm siji niuzie hapa hapa na uitume kwa bombadiaNyumba kama unavyoziona hapo,njoo pm!
Angalia upo jukwaa gani kwanzaHuyu atakuwa anauza ramani/plan za nyumba - nyingi ya nyumba zinazo onyeshwa kwenye picha wala hazipo Tanzania, ni vizuri mtu ukiwa straight forward na kueleza madhumuni ya kweli ya kuleta banfiko lako. Jengo gani linauzwa kwa TSh.9millioni! Au unamaanisha USD.
Angalia upo jukwaa gani kwanza
Una kaka mzuri sana,mpe basi Valentina huyo kaka yako jamani kwa sababu siyo kwa ukame ule unaomuua!happy new year my kaka
Sitaki kuja kulaumiwa mm baadae, watafutane wenyewe. BTW Valentina ni rafik yangu ck moja moja wkt mwingine hunichenjia. Simuelew elew mara anichonganishe na bae wangu mara aniombee msamaha. Cjui yuko upande gan. Valentina njoo huku utueleze kama unampendaUna kaka mzuri sana,mpe basi Valentina huyo kaka yako jamani kwa sababu siyo kwa ukame ule unaomuua!
toka hapa, sitaki fujo zako kumbuka hii ni january mkuu.Akuchonganishe na bae wako yupi???.....unamaanisha mimi??
ila nimependa signature yako.Akuchonganishe na bae wako yupi???.....unamaanisha mimi??
Kupenda signature yangu bila kuja pm haina maslahi/faida!ila nimependa signature yako.
Hapa panatosha bhana. loooh kuna siri gani wataka kuniambia?Kupenda signature yangu bila kuja pm haina maslahi/faida!
Kuna siri yangu nataka nikunong'oneze ambayo sitaki watu wengine wajue!Hapa panatosha bhana. loooh kuna siri gani wataka kuniambia?
ninong'oneze hapa nitawaambia wasikilize ya wakubwaKuna siri yangu nataka nikunong'oneze ambayo sitaki watu wengine wajue!