Nauza hizi nyumba

Nimesoma unauza nyumba ila kwa hizo nyumba na bei tajwa napata shaka kuwa ama umesahau baadhi ya sifuri kwenye hiyo bei au huuzi nyumba ila unauza ramani za nyumba.

Huyu atakuwa anauza ramani/plan za nyumba - nyingi ya nyumba zinazo onyeshwa kwenye picha wala hazipo Tanzania, ni vizuri mtu ukiwa straight forward na kueleza madhumuni ya kweli ya kuleta banfiko lako. Jengo gani linauzwa kwa TSh.9millioni! Au unamaanisha USD.
 
Huyu atakuwa anauza ramani/plan za nyumba - nyingi ya nyumba zinazo onyeshwa kwenye picha wala hazipo Tanzania, ni vizuri mtu ukiwa straight forward na kueleza madhumuni ya kweli ya kuleta banfiko lako. Jengo gani linauzwa kwa TSh.9millioni! Au unamaanisha USD.
Angalia upo jukwaa gani kwanza
 
Una kaka mzuri sana,mpe basi Valentina huyo kaka yako jamani kwa sababu siyo kwa ukame ule unaomuua!
Sitaki kuja kulaumiwa mm baadae, watafutane wenyewe. BTW Valentina ni rafik yangu ck moja moja wkt mwingine hunichenjia. Simuelew elew mara anichonganishe na bae wangu mara aniombee msamaha. Cjui yuko upande gan. Valentina njoo huku utueleze kama unampenda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom