ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,374
- 75,609
Naunga mkono wazo la Mbunge kuweka Picha ya Rais Samia kwenye Sarafu ya Tanzania ili kutunza kumbukumbu na alama muhimu ya Maendeleo ya Nchi yetu.
BoT fanyeni haraka wazo hili.
===
Mhe. Waziri Mkuu mwaka 2006 Bunge hili lilipitisha sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya kuipa mamlaka benki hii kudizaini fedha kwa kuweka nembo na material mbalimbali, mwaka 2021 nchi hii imepata Rais wake wa kwanza mwanamke anayefanya kazi nzuri na anatambulika katika Bara la Afrika na duniani kama Rais madhubuti na wa mfano, je, serikali haioni sasa kwamba kuna haja ya kuweka kumbukumbu ya kudumu kwa Rais Samia Suluhi Hassan kwa kuweka picha yake katika fedha za nchi hii?" - Mbunge Ng'wasi Kamani.
BoT fanyeni haraka wazo hili.
===
Mhe. Waziri Mkuu mwaka 2006 Bunge hili lilipitisha sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya kuipa mamlaka benki hii kudizaini fedha kwa kuweka nembo na material mbalimbali, mwaka 2021 nchi hii imepata Rais wake wa kwanza mwanamke anayefanya kazi nzuri na anatambulika katika Bara la Afrika na duniani kama Rais madhubuti na wa mfano, je, serikali haioni sasa kwamba kuna haja ya kuweka kumbukumbu ya kudumu kwa Rais Samia Suluhi Hassan kwa kuweka picha yake katika fedha za nchi hii?" - Mbunge Ng'wasi Kamani.