Kwanza, mi nimeokoka, nilikua mtumwa wa dhambi ila nazijutia. Iwapo yeyote atatokea nae kuja kudai mtoto wake katika watoto wangu na akija na vidhibitisho, na mke wangu akakubali, nitamsamehe na mi na mke wangu tutasonga mbele na kuanza maisha mapya katika Kristo.
Usinitukane, mwizi akitubu anabaki kuwa mwizi?
Sijakutukana.kwan hata mwz aktubu na kusamehewa lakn s wote watakao mwamn na kovu la kuitwa mwz lazma lmtese.hyo n sawa na kwako pia, mkeo hatakuelewa tena atakuona msalt mkubwa na hatokuamn
Mke wangu anajua kila kitu maana nilimweka wazi. Baada ya hapo, alinisamehe.
Baada ya kupata ushauri, n kwa vile sikuwahi kugombana nae, na kwa vile yeye na mimi tunaujua ukweli, itabidi nitasubiri mtoto akikua ndo atajuulishwa huko mbeleni.
true fununu kuwa jk amemtembelea mtu wake ,zipo...alipofika pia alitaka kwenda kwa mbonde ,washauri wakamuambia kelele zitakua nyingi ...akaamu kuonyesha gesture kuwa ni all weather kwa jana kuhudhuria msiba wa mzee mmoja mfugaji wa kimasai[laibon ] ,ambapo aliwataka waache kuhamahama.
hata hivyo sina uhakika kama hakwenda usiku wa manane kimya kimya...
au pia anaweza kwenda baadaye mambo yakitulia...ila mshkaji lazima atatoka pale wadanganyika watakaposahau,,....na kina mbonde ambao wangeleta mdomo wameshatulizwa.
pia naomba wana board mueendelee kupiga kelele maana uzuri umu ndani watu wanapiga facts kwani jamaa kuona soo kwenda kwa mbonde inatokana na kelele zenu...maana upinzani wilki hii hoja yao ilikua karume,karume ..wakati kuna mambo yanayotuumiza umeme,na haki hii,,kelele hizi anaziona maana huku anapita..for sure.
Na kwa namna jamaa anavyompenda mwanae kampa na jina la mama yake mzazi halafu ukapeleke sura lako eti mwanao kisa umeokoka!Atamshinda lutu yeye huyu? kuna uongo Mungu haukuhesabii makosa!potezea maana tamaa zake za kutaka mtoto wa kike zitamponzaDuh...apo inabid pia uwaze consequence zake zitakueje?...je mke wako na mume wa huyo dada watalichukuliaje ilo suala
Cha kukushair, tumia busara, mlisha likoroga( nusu shari) hamkukamatwa, Mumemuomba Mungu msamaha yameisha, kaa kimya, ugua pole mpk upone
Kama unataka kuiona dunia chungu nenda kamfuate huyo mtoto, bora mwenzio kdgo ataeleweka ila ww unaweza pigwa rungu na ndoa zote mbil zkavunjika