Kama prof.waziri mkenda aliwekewa kauzibe wewe ni nani??Amani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia mh rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
Baki nalo....Daa! Lakin jambo nyeti sana mkuu
Nenda kwa mbunge wako au mkuu wako wa wilaya.Daa! Lakin jambo nyeti sana mkuu
Account inaendeshwa na admin hile. Kwahiyo yanaweza kuwa yale yale,kifupi aseme ujumbe wake hapa. Hadi humu watu wa Samia wapo wengi kama ni ujumbe wenye tija utamfikia tuLabda uende kwenye page ya X omba muonane!
Pita kwa Petro Magoti pale CCM lumumbaAmani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia mh rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
Amesema PrivateMtumie ujumbe kwenye mitandao yake ya kijamii
Umewaza kama meKama prof.waziri mkenda aliwekewa kauzibe wewe ni nani??
Muone ndugu Luka mwashabwa atakusaidia sana na lazma abubujikwe na machozAmani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia mh rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.
Idadi ya watu huwa wanasisitiza kuwa wanataka kuonana na rais pekee huwa wanakuwa na matatizo ya akili na ukisikiliza wanachosisitiza wanataka rais pekee akisike unakuta hakina maana yoyote.Amani iwe kwenu nyote,
Naomba msaada wa kumfikia mh rais. Nia ni njema, ni manufaa ya taifa kwa ujumla.