Hapana, I consider myself very lenient and generous, bloodline isitumike kama hati miliki, what is the point kumuachia urithi billions of money mwanao ambaye ni irresponsible drug addict? convince me otherwise hapati chochoteWe jamaa utakua mkoloni sana
Familia za wenzetu zimepiga hatua kwa kurithishana biashara na asset vizazi na vizaziMimi mtoto kurithi mali zangu is not automatic, lazima aonyeshe uwezo (prove) wa kumiliki , kuheshimu na kuendeleza, kama mjinga chapombe full madawa atapata pesa ya kula tuu na matibabu, hizo zitaenda kwa wenye shida na mahitaji hata kama sio blood yangu
Kitu usichoelewa hao wanaoachiwa lazima wa prove uwezo wao, hard work etc kuna zaidi ya bloodline na tumeona rafiki au binamu anaachiwa mtoto wa kuzaliwa anaachwa, usicheze na watu waliopata mali kwa jasho laoFamilia za wenzetu zimepiga hatua kwa kurithishana biashara na asset vizazi na vizazi
Sasa mfano mimi wakati mzee anafariki nilikuwa na 4yrs old nitaproove vipi, vipaji vingine vinachelewa kuzaliwa japo mimi sio kipajiKitu usichoelewa hao wanaoachiwa lazima wa prove uwezo wao, hard work etc kuna zaidi ya bloodline na tumeona rafiki au binamu anaachiwa mtoto wa kuzaliwa anaachwa, usicheze na watu waliopata mali kwa jasho lao