Natafuta mume wa kunioa

Ni lini Dada zetu wataelewa kuwa mume huwa hatafutwi Bali mume hutafuta! Husubiriwa! Mke hutafutwa, hatafuti!
Vinginevyo ni ukakasi! Binti kuamua kutafuta ni ushahidi tosha kuwa hana kabisa uvumilivu! Misukosuko ya ndoa ikija ataamua kutafuta tena! Ndiyo! Kwa nini avumilie wakati uwezo wa kutafuta anao! Hii ndiyo sababu kubwa ya ndoa nyingi kuvunjika ndani ya miaka 10 ya mwanzo!
 
Umri wa kawaida tu Dada yangu,omba mungu.....,Bali kwa umri uliousema kwa mwanaume wengi wanakuwa tayari na watoto.
 
Habari zenu wana JF,

Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24, natafuta mwanaume wa kunioa ambaye yuko serious tunaweza kuchat PM for more details.

Wasifu wangu kwa ufupi mimi nina umri wa miaka 24, graduate wa chuo kikuu, sina ajira na pia sina mtoto na wala sijawahi kuzaa.

Mwanaume awe hajazidi 45 years, asiwe na mke sijajiandaa kuwa second wife.

Kwa watakao kosoa na kukejeli naomba wajue kuwa mapenzi/mpenzi hana sehemu maalum ya kupatikana.

Thanks.
Ushampata au bado
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom