mlagilamakawao
Senior Member
- Feb 22, 2017
- 189
- 120
Ni pm please
hahahaha. njoo pm unaimbie moreHuyu lonalove ni muongo, msimwamini! Anaomba hela huyo afu anaingia mitini...
Mm ni mkristo,dini yoyote ila ni vzur kama na yeye atakuwa mkristoDini gani wewe na unahitaji wa dini gani
Naanzia hapo kwenye dini yoyote.... Je akiwa mwislamu?Mm ni mkristo,dini yoyote ila ni vzur kama na yeye atakuwa mkristo
Njoo pmNaanzia hapo kwenye dini yoyote.... Je akiwa mwislamu?
MmmmmmhUkiona mdada hauziki huko duniani,basi ujue ni nung'ayembe .samahani lakini
Ushampata au badoHabari zenu wana JF,
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24, natafuta mwanaume wa kunioa ambaye yuko serious tunaweza kuchat PM for more details.
Wasifu wangu kwa ufupi mimi nina umri wa miaka 24, graduate wa chuo kikuu, sina ajira na pia sina mtoto na wala sijawahi kuzaa.
Mwanaume awe hajazidi 45 years, asiwe na mke sijajiandaa kuwa second wife.
Kwa watakao kosoa na kukejeli naomba wajue kuwa mapenzi/mpenzi hana sehemu maalum ya kupatikana.
Thanks.