namba ya mawasiliano.kama klmter 4 ila ni lami had uko n njia ya kwenda tegeta
namba ya mawasiliano.kama klmter 4 ila ni lami had uko n njia ya kwenda tegeta
namba ya mawasiliano.
Namba tafazarNjoo nikukatie kimara mbele ya Vyumba 8 nikukatie miguu eneo la mita mraba 400 bei ml.5 ni pm kama unaitaji maitaji yote yapo
Serious kipo sehem gankama utakuwa tayar me nnacho mbezi sio kikubwa sana kina msingi wa vyumba vitatu tayar mil3 nauza
0718202286Namba tafazar
Njooo Chamazi hapa jirani na Azam stadium kiwanja 50m kwa 40up. M8 bila dalali.
Kipo kgamboni nitafute 0623693653
Mhh mbona mwanzo m5 mara imefika tena m6 ghafra hvyoNjoo nikukatie kimara mbele ya Vyumba 8 nikukatie eneo la mita mraba 400 bei ml.6 ni pm kama unaitaji maitaji yote yapo
0718202286
Serious kipo sehem gan
Namba ya sim
Habar wadau?natafuta kiwanja kwaajil ya makaz kiwepo maeneo ya kimara mpk kibamba pia kuwepo na huduma za jamii kama umeme maji nk,kisiwe mbali zaid ya km2 kutoka barabara kuu ya morogoro rd.mwenye taarifa msaada.
Bontidshomvi nipm, unipe huko kimara japo hujatoa details kwa urefu ila njoo tuongeeNjoo nikukatie kimara mbele ya Vyumba 8 nikukatie miguu eneo la mita mraba 400 bei ml.5 ni pm kama unaitaji maitaji yote yapo
mmh hapo lazma wazee wa hapa kazi wakutembele siku moja wafyeke frem zote hizo kwa kudai umeingilia hifadhi yao, sishauri mtu kununua kiwanja cha aina hiyo zama hizi!Barabara Imepita hapo mbele kama unavyo iona hapo mbele ya frem imechongwa vizuuuuuri
Hivi na huko Kigamboni ni karibu na Kimara na Mbezi aliposema anataka?Kipo kgamboni nitafute 0623693653
Kaa hivyo hivyo na kiwanja kimeshauzwa. Subiria ambacho hakina barabara ununue.mmh hapo lazma wazee wa hapa kazi wakutembele siku moja wafyeke frem zote hizo kwa kudai umeingilia hifadhi yao, sishauri mtu kununua kiwanja cha aina hiyo zama hizi!