Mwalimu200
Member
- Mar 1, 2016
- 92
- 40
Alafu magu anahangaika na wacheza pul badala atengeneze ajira kwa vijana kama alivyojinad! Bila kuwa na refa au kujuana wenye vitengo utakaa xna.
Mawazo ya kishetani hayoKama wewe ni 'Ke' toa papuchi
wachungaji wenyewe ni hawa aina ya akina Gwajima,hawana tofauti na waganga mkuu.mura tang'ana umenifurahisha sana we chamaa..
Kwa nn asiende kwa baba mchungaji amuombee..
habari za jioni ndug, pole na harakati za kutafuta kazi , fikiria kitu mbadala cha kufanya wakati ukisubiri kupata kazi rasmi, namaamnisha tafuta mtaji ujiajiri huku ukisubiri mambo yakae sawa.habari zenu wanajamii forum
nimekuwa nikituma maombi ya kazi kwa muda mrefu sana lakini naona bado sipati hizo kazi sasa naomba ushauri kwani wenzangu mnatumia njia gani maana mambo kwangu yanakuwa magumu sana.....nina elimu ya chuo kikuu hata kwa yeyoye atakayesikia mchongo mm nipo kilimanjaro anistue namba yangu ni 0714921363
INAONEKANA HATA KWENYE BARUA ZAKO UNASHINDWA KUJIELEZA..UNAELIMU YA CHUO KIKUU NDO NINIhabari zenu wanajamii forum
nimekuwa nikituma maombi ya kazi kwa muda mrefu sana lakini naona bado sipati hizo kazi sasa naomba ushauri kwani wenzangu mnatumia njia gani maana mambo kwangu yanakuwa magumu sana.....nina elimu ya chuo kikuu hata kwa yeyoye atakayesikia mchongo mm nipo kilimanjaro anistue namba yangu ni 0714921363
Kuna muda hata thread ya msom huwa nyepes kama ya std seven...why usingeandika kabisa umesomea nn mwaka gan chuo gan...n.k ...unangojea mtu aulize ndio umjib...huenda hata kwenye cv huandika hiv hiv...kingine hebu wacha kukaaa na kungojea ajira tumia elimu yako kujikomboa ulipo kuna fursa kibao ....zama zaid kwenye social media utafute fursa ambao haitumii mtaji mkubwa na zipo nyingi sanahabari zenu wanajamii forum
nimekuwa nikituma maombi ya kazi kwa muda mrefu sana lakini naona bado sipati hizo kazi sasa naomba ushauri kwani wenzangu mnatumia njia gani maana mambo kwangu yanakuwa magumu sana.....nina elimu ya chuo kikuu hata kwa yeyoye atakayesikia mchongo mm nipo kilimanjaro anistue namba yangu ni 0714921363
Kila kitu kinaanzia kwenye CV. Tafuta mtaalam akushauri namna ya kuandika CV inayovutia waajiri. Pia kuna resource nyingi kwenye internet kuhusu nmana ya kuandika CV na hata maswali ya interview (Sample) yapo.habari zenu wanajamii forum
nimekuwa nikituma maombi ya kazi kwa muda mrefu sana lakini naona bado sipati hizo kazi sasa naomba ushauri kwani wenzangu mnatumia njia gani maana mambo kwangu yanakuwa magumu sana.....nina elimu ya chuo kikuu hata kwa yeyoye atakayesikia mchongo mm nipo kilimanjaro anistue namba yangu ni 0714921363
We ni Mtanzania mwenye nywele za sehem za siri kbs? Hakika unakeraKama wewe ni 'Ke' toa papuchi
Mkishapata kazi za kushikwa mkono na wajomba zenu huwa mnakuwa na dharau sana.Kama wewe ni 'Ke' toa papuchi
tembofrankz1@gmail.comweka email au pm nikufowadie tangazo bichi la kazi. degree in dev. studies ni requirement.
Nadhani umepata email yangu mkuu
hakika mungu akubariki sanaNadhani umepata email yangu mkuu
ndg yangu usifanye utani kwenye issue serious! sio jukwà la utani hiliKama wewe ni 'Ke' toa papuchi
In pm course ulizosoma na performance zake!Ingia zoom tanzania tafuta volunteering ufanye utatusuaa tuu