Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,300
- 3,221
Chanzo cha taarifa yako
Hii sio sahihiUtakuta mwenye 4.0 anaachwa wa 2.0 anakula ajira
Naskia ni mwendo wa mwaka wa kuitimu tu,,hakuna vya GPAHii sio sahihi
Zinautofauti gani kiongoziEndelea kufarijiana kama GPA ya 3.0 ya UDSM utailinganisha na GPA ya 3.0 ya Tofila Kisanju
UDSM wanakaza saana kuliko icho chuoZinautofauti gani kiongozi
Huo uonevu aiseeh,Naskia ni mwendo wa mwaka wa kuitimu tu,,hakuna vya GPA
Kuna uonevu ganiHuo uonevu aiseeh,
Nyie watu mnawarusha roho wenye Gentleman GPASafi sana, hivyo ndivyo inavyotakiwa iwe.
Wa 4.+ Ni wengi mnoooItagemea na washindani wako , ila kile kisanga pale watu wa above 3.5 ni wengi sana .
😁😁😁😁😁Vijana wengi vyuoni hawasomi, ule uhuru wanautumia vibaya.
Ni wachache ambao factors kama hizo kutongozwa na wakufunzi, ada na/ magonjwa ndio vinawafelisha.
Wengi wao hawasomi mzee
WANAKAZA KWENYE ACADEMIC ISSUES AU KWENYE UPUUZI WA KTANZANIA?UDSM wanakaza saana kuliko icho chuo
AcademicWANAKAZA KWENYE ACADEMIC ISSUES AU KWENYE UPUUZI WA KTANZANIA?
Naona watu wamerelax bila kujua interview inakuja JanuaryAcademic
SawaaaNaona watu wamerelax bila kujua interview inakuja January
Sidhani kama GPA inazingatiwa ni uongoNendeni private wanakookoteza walimu hata wasio na taaluma hiyo huko mtapata kazi japo si kazi ya kudumu na mshahara wake ni mdogo mpaka utaukimbia mwenyewe kuliko kupoteza maarifa yote ya ualimu uliyoishia kupata hiyo gpa isiyotakiwa
FAFANUA HAPA TUJUE HYO ACADEMIC KWNYE UPANDE GANI LABDA MITIHANI MIGUMU YANI TEST NA UE, ASSGNMENT AU WANASOMA VITU VIGUMU SANA KUSHNDA VYUO VNGNE AU KWA UPANDE GANI?Academic
""It's just you don't have qualifications and you need an excuse""Hii sio Sawa. Bora iludishwe tamisemi tuu. Nimesikia utaratibu wanaotaka kuutumia Sasa hivi ni kama ule wa kufundisha chuo àmbapo Kwa chuo kama huna GPA kuanzia 3.8 huwezi kuwa Mwalimu wa chuo.
Hiyo ni kuludishana nyuma. Wangesema mapema tangu tuko chuo. Huu uonevu. Bola watufikilie na sisi wenye 2.8