Nasikia kama huna GPA ya 3 sahau kuwa Mwalimu wa sekondari

October 2pm

Senior Member
May 2, 2023
106
281
Hii sio Sawa. Bora iludishwe tamisemi tuu. Nimesikia utaratibu wanaotaka kuutumia Sasa hivi ni kama ule wa kufundisha chuo àmbapo Kwa chuo kama huna GPA kuanzia 3.8 huwezi kuwa Mwalimu wa chuo.
Hiyo ni kuludishana nyuma. Wangesema mapema tangu tuko chuo. Huu uonevu. Bola watufikilie na sisi wenye 2.8
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…