Nashera Hotel yawekwa sokoni, nini kimeikumba?

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,508
8,129
Moja ya hoteli ambayo ni alama katika mji kasoro bahari wa Morogoro ambayo ilianza kazi tangu mwaka 2007 imeingizwa sokoni. Wenye nia ya kununua wanatakiwa kuwasilisha pendekezo lao kabla ya May 27.

Wataalamu wa sekta, Nashera imekumbwa na nini au ameamua kuuza akaangalie usawa mwingine?

Pia, soma=> Hali ikiendelea hivi, Nashera hotel nayo itafungwa!

Nashera hotel Morogoro.jpg
 
Moja ya hoteli ambayo ni alama katika mji kasoro bahari wa Morogoro ambayo ilianza kazi tangu mwaka 2007 imeingizwa sokoni. Wenye nia ya kununua wanatakiwa kuwasilisha pendekezo lao kabla ya May 27.

Wataalamu wa sekta, Nashera imekumbwa na nini au ameamua kuuza akaangalie usawa mwingine?

Pia, soma=> Hali ikiendelea hivi, Nashera hotel nayo itafungwa!

View attachment 2980825
Baada ya Lowassa kufariki naona Fred na wadogo zake wameamua kuiuza ili wagawane mpunga.
 
Back
Top Bottom