NASA wameweka rekodi ya ulikaribia jua kabla ya Krismas

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Apr 28, 2020
594
1,165
1_20241224_175607_0000.png


Wenzetu hawalali kila siku wanapenda kujua siri za Sayari zilizopo karibu na Dunia yetu, Chombo kinachohusika na masuala ya masafa marefu ya Angani Nasa wanafanikiwa kuweka rekodi ya Dunia kuwa chombo cha kwanza kufika kwenye sayari ya jua.

2_20241224_175607_0001.png


Kupitia chombo chao cha Uchunguzi kinaitwa Parker Solar Probe ambapo kimefanya safari ya kwenda kwenye sayari ya jua kufanya uchunguzi chenye uwezo wa kuhimili | kuvumilia Joto kali la jua pamoja na mionzi mikali inayotoka kwenye sayari hiyo ya jua.

4_20241224_175608_0003.png


Chombo icho kiliruka umbali wa maili milioni 3.8 sawa na kilomita milioni 6.1 kutoka usawa wa jua, wataalamu hao toka Nasa wanasema chombo kwa sasa kimepoteza Mawasiliano kwa kuwa kiko karibu na jua sehemu ambayo ina joto kali sana hivyo wanasubiri ishara zozote toka kwenye chombo hicho mpaka kufikia Desemba 27 kujua kama kimenusurika kuteketea na mionzi ya jua.

3_20241224_175608_0002.png


Lengo lao ni kuunda chombo Ambacho kitakua na uwezo wa kufika kwenye jua na kuweza kusaidia kwenye kufanya tafiti mbalimbali la jinsi ya kujua Jua linavyofanya kazi Je wanafanikiwa ngoja tuone ?
 
I’ve been closely following this!

NASA keeps on pushing the boundaries of space exploration.

Kule Gambosi mambo kama haya eti huwa yanafanyika usiku tu 🤣.
 
Back
Top Bottom