Elimu ya vimondo

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
75,016
156,385
1715312866337.jpg


Kuna mdau kauliza swali kuhusu Vimondo kikiwemo na kile kinachopatikana Jijini Mbeya katika wilaya ya Mbozi. Nitajibu kwa ufupi tu, ili na wengine wapate kuelewa kuhusu Vimondo na chimbuko lake.

Ipo hivii.........kijiografia chimbuko la vimondo vingi vilivyopo huko angani (outer space) vimetoka kwenye jua. Yaani lile joto kali lililopo kwenye jua ndio husababisha mawe kutoka kwenye mzingo wake kuelekea kwenye baadhi ya Sayari.

Na mengi ya mawe hayo hukutana na ukanda wa baridi kali na kuganda na mwisho wa siku kuyeyuka bila kuleta madhara kwenye sayari zinazolizunguka jua ikiwemo dunia yetu. Bila ukanda huo wenye baridi kali sana (coldest layer) basi mawe hayo ya moto yangeleta athari kubwa sana huku Duniani.
1715312869996.jpg

Tambua kwamba, vimondo vingi yaani (asteroids) vipo katika ya Sayari ya Jupita na Mars. Na hapo ndipo vilipotengeneza mkanda ambao kijiografia unaitwa ' main asteroids belt'. Na vingine hupenya zaidi kusogea kwenye ukanda wa ndani kwenye usawa wa Sayari tatu za mwanzo kwenye mfumo wa jua kwa maana ya Mercury , Venus pamoja na Dunia yetu hii.

Ikumbukwe pia hata hicho kimondo kilichopo Mbozi katika mkoa wa Mbeya ni kwamba, mnamo mwaka 1930 wanasayansi walikigundua Kimondo chenye ukubwa wa tani 16 ( metric tons ) Kimondo kile ni moja ya vimondo maarufu sana duniani kwa ukubwa na uzito vilivyowahi kuanguka na kugusa uso wa dunia yetu hii. Lakini pia kwa asilimia zaidi 99% ya Vimondo vilivyowahi kufika kwenye ardhi ya Dunia yetu hii ni Chuma.

NB: Kimondo kilichopo Mbeya hakikuanguka mwaka 1930, bali kiliangua miaka mingi tu huko nyuma. isipokuwa mnamo mwaka 1930 wanasayansi ndipo walipoanza kukichunguza. Asante!

Nawasilisha.
1715312873598.jpg
 
View attachment 2986297

Kuna mdau kauliza swali kuhusu Vimondo kikiwemo na kile kinachopatikana Jijini Mbeya katika wilaya ya Mbozi. Nitajibu kwa ufupi tu, ili na wengine wapate kuelewa kuhusu Vimondo na chimbuko lake.

Ipo hivii.........kijiografia chimbuko la vimondo vingi vilivyopo huko angani (outer space) vimetoka kwenye jua. Yaani lile joto kali lililopo kwenye jua ndio husababisha mawe kutoka kwenye mzingo wake kuelekea kwenye baadhi ya Sayari.

Na mengi ya mawe hayo hukutana na ukanda wa baridi kali na kuganda na mwisho wa siku kuyeyuka bila kuleta madhara kwenye sayari zinazolizunguka jua ikiwemo dunia yetu. Bila ukanda huo wenye baridi kali sana (coldest layer) basi mawe hayo ya moto yangeleta athari kubwa sana huku Duniani.
View attachment 2986298
Tambua kwamba, vimondo vingi yaani (asteroids) vipo katika ya Sayari ya Jupita na Mars. Na hapo ndipo vilipotengeneza mkanda ambao kijiografia unaitwa ' main asteroids belt'. Na vingine hupenya zaidi kusogea kwenye ukanda wa ndani kwenye usawa wa Sayari tatu za mwanzo kwenye mfumo wa jua kwa maana ya Mercury , Venus pamoja na Dunia yetu hii.

Ikumbukwe pia hata hicho kimondo kilichopo Mbozi katika mkoa wa Mbeya ni kwamba, mnamo mwaka 1930 wanasayansi walikigundua Kimondo chenye ukubwa wa tani 16 ( metric tons ) Kimondo kile ni moja ya vimondo maarufu sana duniani kwa ukubwa na uzito vilivyowahi kuanguka na kugusa uso wa dunia yetu hii. Lakini pia kwa asilimia zaidi 99% ya Vimondo vilivyowahi kufika kwenye ardhi ya Dunia yetu hii ni Chuma.

NB: Kimondo kilichopo Mbeya hakikuanguka mwaka 1930, bali kiliangua miaka mingi tu huko nyuma. isipokuwa mnamo mwaka 1930 wanasayansi ndipo walipoanza kukichunguza. Asante!

Nawasilisha.
View attachment 2986299
Ahsante kwa somo mkuu
 
Hicho kimondo ni jiwe, sasa ule mwanga kikipita huwa unatoka wapi? Kwanini kinawaka yani?
 
Na mtu akija na hoja kwamba vimondo havitokani na jua kwa sababu jua inadaiwa na wanasayansi ni gas. Na mtu huyo huyo akasema vimondo ni mmeguko wa vitu mfano wa sayari ulio tokea zamani sana na vimondo hivyo unavyo viona ni masalia ambayo yapo angani na kwamba masalia mengine yalienda mbali zaidi na dunia yetu na hivyo ni kwa sababu tu hakuna chombo ambacho kimesha vibaini huko viliko kwa sababu ya umbali?
 
Back
Top Bottom