Inataka mtu kichaa na mwehu tu kuitetea pombe.Mtoa mada apuuzwe
Wanaolipuana Ukraine, middle east wanatumia pombe wake?Pombe ndio MAMA wa maasi yote duniani
Je, unaweza kurogewa viwakilishi vya starehe?
Hadi ngono watu wanalogewa Inamaana wale mabaharia,, wazee wa mkongo teyari wamepigwa chumaHapana uchawi wa ngono uko kwenye ndele tuu na anayefanya hayo ni mpenzi wako....Mengine yote ni mapepowww.jamiiforums.com
Ivi unafahamu maana ya MAMA wa maasi lakini?Wanaolipuana Ukraine, middle east wanatumia pombe wake?
Mama wa maasi ni Adam na mkewe hawaIvi unafahamu maana ya MAMA wa maasi lakini?
Itakuwa umeshakuwa teja kunywa kishkajiKwakweli hakuna adui mbaya wa binadamu ambaye hatumtambui kama POMBE! Pombe ni mbaya jamani! Ubaya wa pombe unakamata fikra! Pombe Ikishakamata fikra zako inakulazimisha uitetee na kuipigania huku ikiendelea kuharibu afya na uchumi wako! Pombe ni mbaya! Ebu fikiria kitu kinaharibu afya yako, uchumi wako, mahusiano na jamii iliyokuzunguka, kinapora uwezo wa kuhudumia familia na watu waliokuzunguka, nk, alafu unatumia nguvu kubwa kuitetea na kuilinda na kuipigania mtu akikuambia madhara yake! Mtu unaweza kuacha vitu vingi hatu mbususu ni rahisi kuacha lakini sio pombe! Jamani pombe???? Mhhhhhh!!!????
Kuna watu wasingezaliwa bila pombe.Kwakweli hakuna adui mbaya wa binadamu ambaye hatumtambui kama POMBE! Pombe ni mbaya jamani! Ubaya wa pombe unakamata fikra! Pombe Ikishakamata fikra zako inakulazimisha uitetee na kuipigania huku ikiendelea kuharibu afya na uchumi wako! Pombe ni mbaya! Ebu fikiria kitu kinaharibu afya yako, uchumi wako, mahusiano na jamii iliyokuzunguka, kinapora uwezo wa kuhudumia familia na watu waliokuzunguka, nk, alafu unatumia nguvu kubwa kuitetea na kuilinda na kuipigania mtu akikuambia madhara yake! Mtu unaweza kuacha vitu vingi hatu mbususu ni rahisi kuacha lakini sio pombe! Jamani pombe???? Mhhhhhh!!!????
Nakupa ushindi mjingaMama wa maasi ni Adam na mkewe hawa
rubisiPombe gani unakunywa kwanza mkuu
Oh-ooh, pombe sigaraKwakweli hakuna adui mbaya wa binadamu ambaye hatumtambui kama POMBE! Pombe ni mbaya jamani! Ubaya wa pombe unakamata fikra! Pombe Ikishakamata fikra zako inakulazimisha uitetee na kuipigania huku ikiendelea kuharibu afya na uchumi wako! Pombe ni mbaya! Ebu fikiria kitu kinaharibu afya yako, uchumi wako, mahusiano na jamii iliyokuzunguka, kinapora uwezo wa kuhudumia familia na watu waliokuzunguka, nk, alafu unatumia nguvu kubwa kuitetea na kuilinda na kuipigania mtu akikuambia madhara yake! Mtu unaweza kuacha vitu vingi hatu mbususu ni rahisi kuacha lakini sio pombe! Jamani pombe???? Mhhhhhh!!!????