We wapi nimezungumzia kufuga uhalifu na wapi nimetaja CCM....Kufuga wahalifu ndo kuifufua CCM?
There's no real man mbele ya baba, especially unapokuwa ungali chini ya himaya yake unless umehamua kuitwa muhasi na kutimuliwa ndani ya boma.Mwanaume kuongeaongea mafumbo ni dalili ya kutojiamini.na ni tabia za kikekike,mwanaume kamili huwa real no matter what
Mkuu wala usimuonee huruma........tena usiwashtue waache wavurugane tu.Namuonea huruma Nape alivyozunguka nchi nzima kuifufua ccm,halafu leo mtu anakuja kuiharibu tena.
Mwanaume kuongeaongea mafumbo ni dalili ya kutojiamini.na ni tabia za kikekike,mwanaume kamili huwa real no matter what
Tatizo wana ccm wanafiki
Anatakiwa aibuke mmoja amwambie anapoteza nchi
Naomba link maana anafunguka wazimu.Ila msisite kumwambia alisaidia kulivuruga Bunge kwa kulifanya bubu.ndiyo nape amemnukuu mwakesege kufikisha ujumbe kwa magufuli na Makonda.
Nadhani hapo alipo anajuta kwa mengi ila hana jinsi na hana maamuzi.Namuonea huruma Nape alivyozunguka nchi nzima kuifufua ccm,halafu leo mtu anakuja kuiharibu tena.
Naomba usiku na mchana hayo yatokeeNaomba niwe wa mwisho kuamini hilo, kama ni Nape kweli basi tutegemee mpasuko mkubwa ambao haujawahi kutokea, kuanzia baraza la mawaziri hadi kwenye chama chao.
There you are brother. Watu wa lugha wanasema, "a true peace is not merely the absence of tension,but the presence of justice."Mkuu, it is extremely pathetic for a public figure kuongea kwa mafumbo kila kukicha. Ni heri kupisha kama haridhishwi na mwenendo uliopo.
Mkuu sina jina lingine wala avatar nyingine zaidi ya hizi![]()
![]()
![]()
Mkuu uko serious?
Hebu tumia jina lako halisi hapa jf kwanza
We unadhan Nape haogopi kupoteza ugali wake