NAPE: Mbowe haji, havai makaratasi kama wenzake yupo nyumbani amelala

NZUUUUUU.jpg



Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Nape Nnauye akizungumzia kitendo cha baadhi ya wabunge wa upinzani bungeni kususia vikao vya bunge kwa madai ya kutokuwa na imani na Naibu spika Dk. Tulia Ackson.

Waziri Nape amesema ’Wingereza wanasema mtu mwenye akili ndogo anajadili watu, wenzetu wana mgogoro na naibu spika lakini zipo njia za kibunge za kutatua huu mgogoro lakini wao hawataki kuzifuata, hii ni ishara kuwa wanaongozwa na akili ndogo‘

‘Lakini la pili kubwa linalosikitisha ni kuwa anayewaongoza kutoka na kuingia Freeman Mbowe haji, havai makaratasi kama wenzake na huwenda yupo tuu nyumbani amelala nyumbani kwake. Ushauri wangu wajaribu kuwa na akili kubwa kidogo ya kushughulika na mfumo‘ –Waziri Nape



Kumbe watu wakipata madaraka wanafikiri wana akili kubwa kuliko wanaowaongoza!!?

No wonder ..............!!!?
 
Badala ya kukaa na uongozi wa chama chake waone jinsi ya kumaliza tifauti za UKAWA na spika bado analeta usanii. Hii inaonyesha jinsi viongizi wa nchi hii walivyo na mawazo mgando.

Haifurahishi kuona wabunge ambao ni wawakilishi wa wananchi wakiburuzwa na mtu mmoja ambae hana jimbo ni mteule kwa utashi wa mtu halafu mtu ambae ni waziri ambae kimamlaka anaongoza si chama chake peke yake bali Taifa zima anaongea pumba. Huu ni upungufu mkubwa sana kwenye utawala.
 
Nape kama anataka siasa zihamie Bungeni mbona matangazo ya television anayazuia!!??

Halafu anawadanganya watu kuwa South Africa uchguzi ukiisha hakuna mikutano wala maandamano .... Hivi kuna nchi Africa yenye maandamano kuliko South Africa!!??
 
Nape, Nape, Nape rudia, wana akli ndogo? Kipimo chako ni kipi? Tuanzie hapo.

Kipimo chake ni 'KUJADILI WATU', yeye yupo anamjadili Mbowe.

Mule bungeni, wazee wa picha ya askari na sanamu ya push up wanaacha kujadili bajeti, wanajadili watu waliotoka nje. Nafikiri nimemuelewa
 
NZUUUUUU.jpg



Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Nape Nnauye akizungumzia kitendo cha baadhi ya wabunge wa upinzani bungeni kususia vikao vya bunge kwa madai ya kutokuwa na imani na Naibu spika Dk. Tulia Ackson.

Waziri Nape amesema ’Wingereza wanasema mtu mwenye akili ndogo anajadili watu, wenzetu wana mgogoro na naibu spika lakini zipo njia za kibunge za kutatua huu mgogoro lakini wao hawataki kuzifuata, hii ni ishara kuwa wanaongozwa na akili ndogo‘

‘Lakini la pili kubwa linalosikitisha ni kuwa anayewaongoza kutoka na kuingia Freeman Mbowe haji, havai makaratasi kama wenzake na huwenda yupo tuu nyumbani amelala nyumbani kwake. Ushauri wangu wajaribu kuwa na akili kubwa kidogo ya kushughulika na mfumo‘ –Waziri Nape


Kumbe Nape ana akili kubwa?
 
Nape kama anataka siasa zihamie Bungeni mbona matangazo ya television anayazuia!!??

Halafu anawadanganya watu kuwa South Africa uchguzi ukiisha hakuna mikutano wala maandamano .... Hivi kuna nchi Africa yenye maandamano kuliko South Africa!!??
Halafu nachukia hawa viongozi wa hii nchi kila kitu wanatolea mifano nchi nyingine ni lini na wao watafanya jambo liigwe na nchi nyingine? Yaani wamekaa kama wauza bia, maana akimuona mwenzake kavaa hivi nae kesho atamuiga. Hawa viongozi wa Ccm wanaongoza kwa ku copy na ku paste akili za div zero. They are not creative kabisa. Nawchukia viongozi wa kuiga.
Basi wamchukue na Zuma aje awafundishe kuoa kila mwezi. Poor thinking!! Ahhhhh.
 
Akili ndogo ni wao ambao badala ya kumshauri Tulia awaachie wenyeviti waongoze vikao wanamwogopa kwani atawasemea kwa aliyemleta bungeni asije watumbua.
Lakini wanashindwa kuelewa matatizo ya wizara zao wapinzani ndio walikuwa wanawapigania
Unajidanganya,,, hivi mpaka sasa hivi hajamsoma alama za nyakati tu,?
 
siasa za awamu hii zinanikata stimu kishenz yan, mi pande zote mbili naona wanafanya upuuzi yn, si serikali wala si upinzani, wote wanazingua yn.
 
NZUUUUUU.jpg



Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Nape Nnauye akizungumzia kitendo cha baadhi ya wabunge wa upinzani bungeni kususia vikao vya bunge kwa madai ya kutokuwa na imani na Naibu spika Dk. Tulia Ackson.

Waziri Nape amesema ’Wingereza wanasema mtu mwenye akili ndogo anajadili watu, wenzetu wana mgogoro na naibu spika lakini zipo njia za kibunge za kutatua huu mgogoro lakini wao hawataki kuzifuata, hii ni ishara kuwa wanaongozwa na akili ndogo‘

‘Lakini la pili kubwa linalosikitisha ni kuwa anayewaongoza kutoka na kuingia Freeman Mbowe haji, havai makaratasi kama wenzake na huwenda yupo tuu nyumbani amelala nyumbani kwake. Ushauri wangu wajaribu kuwa na akili kubwa kidogo ya kushughulika na mfumo‘ –Waziri Nape


Hawa ni wale wale umewasahau maamuma....... waliimbishwa na Dr Slaa kwa miaka mitani kuwa LUWWAAASSA ni FISADI wakaimba na kucheza..... Wakatengenezewa SINGLE na MZEE WA KUBADILISHIA GIA ANGANI aka wa KULALA NYUMBANI.... kuwa hakuna FISADI bali ni mfumo kwa kipindi cha miezi 3 Wakabadilika na Kuimba kinyume kuwa LUWWWASA si FISADI....... Hivi ndivyo walivyoumbwa na uwezo wao unaishia hapo...
 
Kwa kuwa Nape elimu yake ya diploma amesomea India nilitegemea atoe mifano mingi ya kihindi.Uingereza inamuhusu nini?
 
hebu fanyeni kazi zenu, mbona hawa akina mbowe wanawapotezea muda wenu? wenyewe hawana kabisa habari
 
Back
Top Bottom