Nape, Nape, Nape rudia, wana akli ndogo? Kipimo chako ni kipi? Tuanzie hapo.
Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Nape Nnauye akizungumzia kitendo cha baadhi ya wabunge wa upinzani bungeni kususia vikao vya bunge kwa madai ya kutokuwa na imani na Naibu spika Dk. Tulia Ackson.
Waziri Nape amesema ’Wingereza wanasema mtu mwenye akili ndogo anajadili watu, wenzetu wana mgogoro na naibu spika lakini zipo njia za kibunge za kutatua huu mgogoro lakini wao hawataki kuzifuata, hii ni ishara kuwa wanaongozwa na akili ndogo‘
‘Lakini la pili kubwa linalosikitisha ni kuwa anayewaongoza kutoka na kuingia Freeman Mbowe haji, havai makaratasi kama wenzake na huwenda yupotu nyumbani amelala nyumbani kwake. Ushauri wangu wajaribu kuwa na akili kubwa kidogo ya kushughulika na mfumo‘ –Waziri Nape
Mbowe yupo Mwanza anashughulikia kesi ya kupigania demokrasia! Semeni na lingine!Mbowe alikuwa na majukumu gani wakati wenzie wapo mstari wa mbele kwenye mapambano.
Au alikuwa kwa tv akiwachora
‘Lakini la pili kubwa linalosikitisha ni kuwa anayewaongoza kutoka na kuingia Freeman Mbowe haji, havai makaratasi kama wenzake na huwenda yupotu nyumbani amelala nyumbani kwake. Ushauri wangu wajaribu kuwa na akili kubwa kidogo ya kushughulika na mfumo‘ –Waziri Nape
Safi Sanaaa!
Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Nape Nnauye akizungumzia kitendo cha baadhi ya wabunge wa upinzani bungeni kususia vikao vya bunge kwa madai ya kutokuwa na imani na Naibu spika Dk. Tulia Ackson.
Waziri Nape amesema ’Wingereza wanasema mtu mwenye akili ndogo anajadili watu, wenzetu wana mgogoro na naibu spika lakini zipo njia za kibunge za kutatua huu mgogoro lakini wao hawataki kuzifuata, hii ni ishara kuwa wanaongozwa na akili ndogo‘
‘Lakini la pili kubwa linalosikitisha ni kuwa anayewaongoza kutoka na kuingia Freeman Mbowe haji, havai makaratasi kama wenzake na huwenda yupotu nyumbani amelala nyumbani kwake. Ushauri wangu wajaribu kuwa na akili kubwa kidogo ya kushughulika na mfumo‘ –Waziri Nape
Angalia matendo. Lakini hebu tuletee kwanza ya Mwenyekiti wa Chama!Nimecheka sana eti akili ndogo, naomba yale matokeo yake form 4 , halafu waweke na ya Mnyika tujue ni yupi mweny akili ndogo.
Kuvaa makaratasi mdomoniNape, Nape, Nape rudia, wana akli ndogo? Kipimo chako ni kipi? Tuanzie hapo.
Mwenyekiti wa chama form 4 alipiga vizuri ndiyo maana akachaguliwa kwenda form five.Angalia matendo. Lakini hebu tuletee kwanza ya Mwenyekiti wa Chama!
Kwa hiyo anaejadili watu ni huyo Nape na wewe. Poleni sana
Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Nape Nnauye akizungumzia kitendo cha baadhi ya wabunge wa upinzani bungeni kususia vikao vya bunge kwa madai ya kutokuwa na imani na Naibu spika Dk. Tulia Ackson.
Waziri Nape amesema ’Wingereza wanasema mtu mwenye akili ndogo anajadili watu, wenzetu wana mgogoro na naibu spika lakini zipo njia za kibunge za kutatua huu mgogoro lakini wao hawataki kuzifuata, hii ni ishara kuwa wanaongozwa na akili ndogo‘
‘Lakini la pili kubwa linalosikitisha ni kuwa anayewaongoza kutoka na kuingia Freeman Mbowe haji, havai makaratasi kama wenzake na huwenda yupotu nyumbani amelala nyumbani kwake. Ushauri wangu wajaribu kuwa na akili kubwa kidogo ya kushughulika na mfumo‘ –Waziri Nape