Nape kutangaza na kuzuia Kwa nguvu zote Bunge kuwa Live, Je Bunge lipo kwenye Wizara anayoiongoza?

Nikweli mmawia kama kweli kusingekuwa na Baraka za wakubwa Vuvuzela angekuwa amashapigwa ban lkn anaonekana dhahiri shahiri amepewa goahead,kumbuka matusi yake wkt wa kampeni mwaka jana
 
Nikweli mmawia kama kweli kusingekuwa na Baraka za wakubwa Vuvuzela angekuwa amashapigwa ban lkn anaonekana dhahiri shahiri amepewa goahead,kumbuka matusi yake wkt wa kampeni mwaka jana
Ndio ukweli wenyewe mkuu
 
Viongozi wa CCM na serikali nikama mfalme aliye kufa uku kakaa kitini watu wanamsujudia na kumwogopa wakizani yupo hai kumbe mfu wa kufukiwa kabilini tuamke tuachane na unafiki
 
Back
Top Bottom