kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 835
- 1,474
- Thread starter
- #121
Baada ya kuleta uzi wa mama yangu kumkataa, watu wengi walinikejeli bila kujua sababu ni nini, ila sasa nimepata uhakika kwamba Mama yangu hakukoseaMtu mwenye tabia zinazotia mashaka sio wa kukaa naye.We endelea kukaza fuvu,yawezekana mama yako roho imemkataa,mimi pia nikimkataa mtu at first sight ujue kuna shida