melting Lava
Member
- Jan 22, 2017
- 29
- 20
Are you serious Sharifa?!!! 18 yrs old halafu umemzimikia mme wa MTU! No please wait for your own then you,ll enjoyNina umr wa miak 18
Na n mkristo
Are you serious Sharifa?!!! 18 yrs old halafu umemzimikia mme wa MTU! No please wait for your own then you,ll enjoyNina umr wa miak 18
Na n mkristo
Wewe ndo Sheri nangai?ifkr
Fumanizi la wapi kwani hakuna wanaume walio oa na bado akawa na nyumba dogo tena akawa anafamika kwao mume na anapewa heshima kama mkeJiandae na fumanizi
Si vizuri kutembea na mume mwanamke mwenzio, jaribu kuwaza wewe ndiyo ungekuwa mke halafu mwanamke mwingine atembee na mumeo ungejisikiaje?Nina mtu nampenda sana. Na yeye amenihakikishia ananipenda lakini yeye ana mke na siku alioniambia ananipenda alinambia kuwa yeye ameoa.
Sasa nifanye nini?
Naombeni ushauri wenu.
Upo mpendwa?Bila shaka jamaa atakuwa ana hela,
manake haiwezekani kapuku akawa na jeuri ya kutongoza huku akijinadi kwamba ana mke wa ndoa na bado ukapendwa... Never
dah ww jamaa ulipotea vp forex bado unaendelea nayoMissing u Vale... Come and gimme some hugs
Ahaaaaaa haya ndo mashariti huyo mme atakayo kupa.Nina mtu nampenda sana. Na yeye amenihakikishia ananipenda lakini yeye ana mke na siku alioniambia ananipenda alinambia kuwa yeye ameoa.
Sasa nifanye nini?
Naombeni ushauri wenu.
Ahaaaaaa haya ndo mashariti huyo mme atakayo kupa.Nina mtu nampenda sana. Na yeye amenihakikishia ananipenda lakini yeye ana mke na siku alioniambia ananipenda alinambia kuwa yeye ameoa.
Sasa nifanye nini?
Naombeni ushauri wenu.
Kula kwanza like ya Maneno pia "like"Bila shaka jamaa atakuwa ana hela,
manake haiwezekani kapuku akawa na jeuri ya kutongoza huku akijinadi kwamba ana mke wa ndoa na bado ukapendwa... Never
Haya masharti ni kweli kbs dear,sasa hizo shida zote za nini wkt wakaka wapo wa kutosha mpk wengine wanaleta matangazo love connect kutafuta wake hahaa. Bora kupata wakwako ambaye atakutreat kama his 1st choice.Ahaaaaaa haya ndo mashariti huyo mme atakayo kupa.
1: atakusev jina la kelvin rafiki yake anaejulikana kwa mkewe
2: au atakusev mlinzi kk security
3 au fund geleji.
4wewe hutompigia simu muda wowote
5:weekend tulia atakutafuta jion akienda kuosha gari
6: ukiumwa usiku hakuna kupiga simu
7: hakuna kupaka lipstic ukiwa nae, mambo ya kuchafulia shat hapana
8: ukiwa nae no perfume
9: mkikutana akiwa na mkewe tuliza mshono hakuna kumsalimia.
10: mkitoka out wewe utakuwa unakaa na kelvin wakati bwana yako akisoma usalama wa mazingira.yaan ionekane wewe unaonekana na wa kelvin.
11: etc
I hate this stupid life.
ajiandae na bara la njaa piaJiandae na baa la njaa