Naombeni ushauri kabla hili halijaniua

Habari zenu, Kwa kweli naomba mnipe ushauri maana ni siku ya tano sasa sili wala silali mpaka nimeamua kuja mbeli zenu mnipe Masada WENU
Maana naona sasa naenda kupata tatizo la moyo.

Kisa kiko hivi mm nimeoa Kwa ndoa kabsa na ndoa ina miaka 3, tumebahatika kupata mtoto mmoja, Mimi na mke hatukuwahi kuwa na ugomvi wowote mm na yeye.
Kila kitu nilijitahidi kumtimizia kadili ya uwezo, na baadae nikamfungulia Duka.
Sasa wiki moja nyuma nilipata safari ya ghafla
nikasafiri baada ya kusafiri nimekaa kama siku tatu mke wangu akaniambia kuwa kuna jirani kapata msiba akumuone.
Basi mm nikamruhusu aende baada ya kwenda masaa kama mawili napigiwa simu na jamaa yangu kuwa kamuona akiwa na jamaa wakiingia ndani Kwa jamaa.
Niliumia Sana kupata taarifa hizo ikabidi nigeuke Kesho yake na kumhoji kuwa ilikuwaje anidanganye kuwa anaenda msibani kumbe si kweli.
Akaniambia kuwa ameenda ila akapotea na wakati anarudi ndo amekutana na jamaa ambaye alikuwa anamtongoza na kuongozana kwenda kwake ila akaniambia kuwa hawakufanya mapenzi.
Sasa nimeshindwa kuamini kuwa kweli hawakufanya na na je mwanamke kama huyu anastahili msamaha hata kama kweli hakucheat?
Pls nisaidieni
Usimsamehe boss wangu.
 
Hapo Sasa ndo utaelewa Nemo "Kua uyaone"
Ukiweza kupambana na tuchangamoto huto basi ujue umeshakua Sasa..
Rahisi ni kwamba ukitaka kufa kwa stress hapa Dunia basi Mwamini mwanamke utaona unavokufa taratibu taratibu..
Wewe Kama huna moyo Wala hukutakiwa kurudi kuja kuthibitisha tatizo unamwamini ndo maana ukaona ngoja nikathibitishe..
Tumia busara tu maadamu hujamuona kwa macho yaani kumfuma basi panua kifua uyahifadhi atarudia tu then ndo unakuja mbwaga.
 
Jiulize haya maswali kabla hujafanya maamuzi.

1. Je, bado unampenda mke wako?

2. Je, unafikiri anaweza kubadilika kwa alichokifanya?

3. Je, uhusiano wenu unaweza kuwa kama zamani ukiamua kumsamehe?

4. Je, unafikiria kumwacha kwa sababu ya heshima yako au kwa sababu unajua huwezi kusahau au kusamehe?

Kama ukiamua kumsamehe fanya haya.

1. Weka sheria kwenye ndoa yenu.

2. Hakikisha unaongea na wife kwa uwazi kuhusu kilichotokea na namna mnaweza kusonga mbele.

Iwapo utaamua kuachana na wife.

1. Tafuta mwanasheria akusaidie kuweka sawa mambo yote, hasa kuhusu malezi ya mtoto.

Mkuu, kwavyovyote utakavyoamua hakikisha unajipenda wewe kwanza, unajiheshimu na usiruhusu jambo hili likuharibie maisha yako.

All the best brother.
 
Habari zenu, Kwa kweli naomba mnipe ushauri maana ni siku ya tano sasa sili wala silali mpaka nimeamua kuja mbeli zenu mnipe Masada WENU
Maana naona sasa naenda kupata tatizo la moyo.

Kisa kiko hivi mm nimeoa Kwa ndoa kabsa na ndoa ina miaka 3, tumebahatika kupata mtoto mmoja, Mimi na mke hatukuwahi kuwa na ugomvi wowote mm na yeye.
Kila kitu nilijitahidi kumtimizia kadili ya uwezo, na baadae nikamfungulia Duka.
Sasa wiki moja nyuma nilipata safari ya ghafla
nikasafiri baada ya kusafiri nimekaa kama siku tatu mke wangu akaniambia kuwa kuna jirani kapata msiba akumuone.
Basi mm nikamruhusu aende baada ya kwenda masaa kama mawili napigiwa simu na jamaa yangu kuwa kamuona akiwa na jamaa wakiingia ndani Kwa jamaa.
Niliumia Sana kupata taarifa hizo ikabidi nigeuke Kesho yake na kumhoji kuwa ilikuwaje anidanganye kuwa anaenda msibani kumbe si kweli.
Akaniambia kuwa ameenda ila akapotea na wakati anarudi ndo amekutana na jamaa ambaye alikuwa anamtongoza na kuongozana kwenda kwake ila akaniambia kuwa hawakufanya mapenzi.
Sasa nimeshindwa kuamini kuwa kweli hawakufanya na na je mwanamke kama huyu anastahili msamaha hata kama kweli hakucheat?
Pls nisaidieni
Sasa mkuu hapa tukushauri nini?

Biblia inasema usimuache mkeo ispokuwa kwa Uasharati tu.

Majibu unayo
 
Habari zenu, Kwa kweli naomba mnipe ushauri maana ni siku ya tano sasa sili wala silali mpaka nimeamua kuja mbeli zenu mnipe Masada WENU
Maana naona sasa naenda kupata tatizo la moyo.

Kisa kiko hivi mm nimeoa Kwa ndoa kabsa na ndoa ina miaka 3, tumebahatika kupata mtoto mmoja, Mimi na mke hatukuwahi kuwa na ugomvi wowote mm na yeye.
Kila kitu nilijitahidi kumtimizia kadili ya uwezo, na baadae nikamfungulia Duka.
Sasa wiki moja nyuma nilipata safari ya ghafla
nikasafiri baada ya kusafiri nimekaa kama siku tatu mke wangu akaniambia kuwa kuna jirani kapata msiba akumuone.
Basi mm nikamruhusu aende baada ya kwenda masaa kama mawili napigiwa simu na jamaa yangu kuwa kamuona akiwa na jamaa wakiingia ndani Kwa jamaa.
Niliumia Sana kupata taarifa hizo ikabidi nigeuke Kesho yake na kumhoji kuwa ilikuwaje anidanganye kuwa anaenda msibani kumbe si kweli.
Akaniambia kuwa ameenda ila akapotea na wakati anarudi ndo amekutana na jamaa ambaye alikuwa anamtongoza na kuongozana kwenda kwake ila akaniambia kuwa hawakufanya mapenzi.
Sasa nimeshindwa kuamini kuwa kweli hawakufanya na na je mwanamke kama huyu anastahili msamaha hata kama kweli hakucheat?
Pls nisaidieni
Hii habari sijaielewa vizuri,ama hujatueleza vizuri au huyo mkeo kuna kitu ambacho hakieleweki kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom