Naombeni Msaada, WIFI adapter ipi iko vizuri kwenye computer?

Mr_Plan

Senior Member
Oct 2, 2021
140
194
Habari Wanajamvi Natumai ni wazima wa Afya....Nilikuwa naomba kufahamishwa Je ni Wifi Adapter ipi ambayo naweza Tumia kwenye Computer bila Tatizo na Yenye kasi zaidi.

download (1).jpg
download.jpg
 
Mkuu nisahihishe kama niko sawa
Hii adapter kazi yake ni kuvuta wave za Wi-fi iliombali mfano source ya Wifi iko getini wewe uko chumbani na PC yake unaweka aka kadude then zinakuja orodha ya Wifi zilizokaribu nawe unaweka password unaanza kutumia...Hii ndo kazi yake??.
Duuuu.....🤣🤣🤣 Si Uulize kama Uelewi
 
Mkuu nisahihishe kama niko sawa
Hii adapter kazi yake ni kuvuta wave za Wi-fi iliombali mfano source ya Wifi iko getini wewe uko chumbani na PC yake unaweka aka kadude then zinakuja orodha ya Wifi zilizokaribu nawe unaweka password unaanza kutumia...Hii ndo kazi yake??.
ndio ivyoivyo wala ujakosea
 
Mimi nataka kuitumia kwenye desktop. Je washauri ninunue ipi
Tafuta za Pcie ambazo Unachomeka ndani ya desktop zina Bluetooth Na wifi humo humo zipo kama hivi

images.jpeg-58.jpg


Za wifi 5 minimum ni kama 20,000-30,000 Aliexpress mpaka ina kufikia na za wifi 6 ni kama 40,000-50,000.

Kwa matumizi ya kawaida Wifi 5 inatosha hata router zetu nyingi kibongo bongo zinaishia hapo ila kama unataka future proof chukua ya wifi 6.
 
Tafuta za Pcie ambazo Unachomeka ndani ya desktop zina Bluetooth Na wifi humo humo zipo kama hivi

View attachment 2814017

Za wifi 5 minimum ni kama 20,000-30,000 Aliexpress mpaka ina kufikia na za wifi 6 ni kama 40,000-50,000.

Kwa matumizi ya kawaida Wifi 5 inatosha hata router zetu nyingi kibongo bongo zinaishia hapo ila kama unataka future proof chukua ya wifi 6.
Umesema nikwamatumizi ya kawaida wifi 5 na je wifi 6 ni kwamatumizi gani labda?

Na kama mtu ana laptop ni adapter gani unam recommend, maana nataka ku install parrot os sasa nataka nijaribu hacking moja ya wifi.
 
Umesema nikwamatumizi ya kawaida wifi 5 na je wifi 6 ni kwamatumizi gani labda?

Na kama mtu ana laptop ni adapter gani unam recommend, maana nataka ku install parrot os sasa nataka nijaribu hacking moja ya wifi.
Wifi 6 ina speed zaidi kama unacheza games, una stream na kufanya kazi nzito inahitajika.

Laptop nunua wifi za M2 za intel zipo kama hivi.
images.jpeg-59.jpg


Sema angalia kwanza laptop yako inakubali mfumo upi, M2, msata Etc ununue according to mfumo wako.
 
Tafuta za Pcie ambazo Unachomeka ndani ya desktop zina Bluetooth Na wifi humo humo zipo kama hivi

View attachment 2814017

Za wifi 5 minimum ni kama 20,000-30,000 Aliexpress mpaka ina kufikia na za wifi 6 ni kama 40,000-50,000.

Kwa matumizi ya kawaida Wifi 5 inatosha hata router zetu nyingi kibongo bongo zinaishia hapo ila kama unataka future proof chukua ya wifi 6.
Tofauti ya hiyo na hii iko wapi mkuu sina idea kwenye hili
 

Attachments

  • Screenshot_2023-11-20-09-31-53-092_com.opera.mini.native.jpg
    Screenshot_2023-11-20-09-31-53-092_com.opera.mini.native.jpg
    97.5 KB · Views: 4
Tofauti ya hiyo na hii iko wapi mkuu sina idea kwenye hili
Hii inachomekwa kwenye usb ambayo ni slow, theoretical usb 2.0 haizidi 480mbps (60MBps), wakati zile nilizokutajia zinatumia Pcie ama M2 ambazo ni 64Gbps ama zaidi. Pia hizi nyingi ni wifi 4 kushuka pcie nilizokuekea ni wifi 5/6

Pia ubora, hivi mara kwa mara vinakufa, vile ni intel unakaa navyo hadi unasahau.
 
Hii inachomekwa kwenye usb ambayo ni slow, theoretical usb 2.0 haizidi 480mbps (60MBps), wakati zile nilizokutajia zinatumia Pcie ama M2 ambazo ni 64Gbps ama zaidi. Pia hizi nyingi ni wifi 4 kushuka pcie nilizokuekea ni wifi 5/6

Pia ubora, hivi mara kwa mara vinakufa, vile ni intel unakaa navyo hadi unasahau.
Hapo shukrani nmekuelewa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom